SHIRIKIANENI NA CCM NDIYO CHAMA CHENYE UWEZO NA DHAMIRA KUONGOZA NCHI - NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema hadi sasa hakuna chama kingine cha siasa, tofauti na CCM, kinaweza kuaminiwa kuwa mbadala wa CCM katika kuongoza nchi.
Hivyo amewasisitiza Watanzania kuendelea kushirikiana na CCM kwani ndiyo chama chenye uwezo na dhamira ya kuongoza nchi kwa maslahi ya wananchi na taifa letu.
Balozi Nchimbi ameyasema hayo leo tarehe 6 Oktoba, 2024, alipokuwa akizungumza na wananchi wa Lamadi, Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu, ambapo pia amewapongeza kwa kujitokeza kwa wingi kwenye mapokezi yake, I ikionesha wazi mapenzi yao makubwa kwa CCM.
"Shirikianeni na Chama Cha Mapinduzi ambacho kimeonesha uwezo na dhamira ya kuongoza nchi. Sisi hatuna viongozi wa kuongoza miaka 40 bila kubadilika. Tunabadilika badilika na ndiyo mana CCM imekuwa chama kijana kuliko vyote. Vyama vya upinzani bado sana vinahitaji kukua na sio kuongoza. Tuendelee kuwalea ni watoto wa mwisho hadi watakapokua zaidi, labda miaka 50 ijayo.
Dkt Nchimbi ameongozana na Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu CPA Amos Makalla na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndugu Rabia Abdalla Hamid.
ποΈ06.Octoba 2024.
πLamadi Busega
#KaziIendelee
#TunaendeleanaMama.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025