HADI SASA TUMEFANYA MIKUTANO 30 NA KERO 148 ZIMESHATOLEWA UFUMBUZI - MWENEZI MAKALLA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Amos Makalla, amesema hadi kufikia sasa kupitia ziara hii ya Katibu Mkuu kutembelea mikoa sita, tayari imefanyika jumla ya mikutano 30 na vikao sita vya kamati ya siasa ambapo ahadi kubwa iliyotolewa na wananchi ni kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi wa mwaka 2025.
Mwenezi Makalla amesema wananchi wamekihakikishia Chama kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji pamoja na kuzoa viti vya ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu.
“ Katika ziara hiyo ya mikoa sita kazi kubwa imefanyika, tulianza ziara mkoa wa Katavi, Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Ruvuma kwa awamu ya kwanza ambako kote tulipopita tumepokelewa kwa kishindo. Tumefanya mikutano 30, vikao sita vya kamati ya siasa, tumeangalia uhai wa Chama na kote tulipopita wameahidi mambo mawili kuhusu uchaguzi" .
Makalla ameeleza mambo hayo ni;
" Kwanza CCM itashinda kwa kishindo uchaguzi wa serikali za mitaa, wameahidi madiwani na wabunge tutashinda kwa kishindo lakini nafasi moja ya urais fomu yake ni moja tu ya Rais Samia. Mikoa yote inasimama na Rais Samia, ahadi kubwa ni ushindi kwa CCM .”
Akizungumza kwenye mkutano wa ndani, Mwenezi Makalla amesema hadi kufikia juzi jumla ya kero 148 zimesikilizwa na kutolewa ufumbuzi huku akitumia nafasi hiyo kuwaagiza viongozi wa CCM kusikiliza kero za wananchi kisha kuzifikisha serikali kwa ufumbuzi.
“ Ofisi za CCM ni kimbilio la wananchi, wasikilizeni wananchi kisha kero zao mzipeleke katika ofisi za serikali, msiwaachie watendaji wa serikali peke yao ,” alisema Mwenezi Makalla
Vilevile, Mwenezi Makalla ameendelea kusisitiza juu ya uwepo wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri mahususi kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu.
“ WanaCCM na jumuiya zote tuhamasishe wenzetu wanufaike na mikopo hiyo kwa sababu wapinzani kwao siyo ajenda. Wapo kwenye maandamano na wanaamini vijana wao wakiwa masikini ndiyo watawatumia kwenye maandamano" .
ποΈ22 Aprili, 2024
πMbinga - Ruvuma
ZIARA YA RAIS WA MISRI-TANZANIA
19-07-2026
π° CCM NA ACT-WAZALENDO WASAINI MARIDHIANO YA PAMOJA YA KISIASA ZANZIBAR
19-07-2026
π ππππ ππ ππππ ππ ππππππππ, πππ. ππππ-ππππ ππππππ! π°
19-07-2026
π°πππππ ππππππ ππππ ππ πππ ππππ ππππππππ πππππ πππ πππππππππππ πππ ππ πππ ππππ ππ ππππππ
19-07-2026
π°ππππ ππ πππππππππππ ππ ππππ ππππ ππππ!
19-07-2026
ππππ ππ ππππ ππ πππππ; πππππ ππ ππππππππ, πππππππ πππππππ!!!!!
19-07-2026
ππππππ πππππ πππππ ππππππ ππππππππ ππ ππππππππππ
19-07-2026
πππππππ ππππππ πππππππ πππππ ππ πππππππππππ ππππππππ, ππππππ-ππππππ
19-07-2026
πππππππ ππππππ πππππππππ πππππ ππ. ππ πππ
ππ
π, πππππππππ πππππ, πππππ ππ ππππππππππ
19-07-2026
πππππ ππ πππ
ππππ ππ ππ
ππππ ππππππ πππ
πππππ π
ππππ ππ πππππ πππ ππππππ
19-07-2026
ππππππ, ππππ ππππ ππ πππ!
19-07-2026
πππππ: πππ. πππππ ππππππ ππππππ ππ πππππππππππ ππππππ ππ πππππ ππ πππ
19-07-2026
ππππ ππππππ, πππππ ππ πππππππ ππππππ!
19-07-2026
πππππ πππππππ πππ
πππππ; βπππππ
ππππππππππππππβ πππππππ πππππππ ππ πππππππ!
19-07-2026
ππππππ πππ πππππππππππ ππ ππ
πππππ ππ πππππππππ ππ ππππππ ππ ππππππππ: πππππππππ
19-07-2026
πππ ππππππ πππππ ππππππππ ππ ππππππ πππ ππππ ππ ππππππππππ ππππ
19-07-2026
πππππ ππ ππππππ ππ πππππππππ: πππππππππ
19-07-2026
πππππππππ πππππ ππππππ!!
19-07-2026
πππππ πππππππππ ππππππ, πππππππ ππππππππ ππ πππ ππππππ πππππ ππ ππππ ππ πππ πππ πππππππ
19-07-2026
πππππ: πππ ππππππππππππ ππππππ, ππππππππ ππππππππππ πππππππ ππππππππππ ππ ππππππππ
19-07-2026