MAKALLA AANZA ZIARA MKOA WA LINDI
MAKALLA AANZA ZIARA MKOA WA LINDI
•Akagua barabara na madaraja SOMANGA
•Atoa pole na kumshukuru Rais Samia kutoa fedha zaidi Bilioni 100 kujenga madaraja
•Ampongeza Waziri Abdallah Ulega na Tanroad kwa kuwahi na kusimamia matengenezo
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi and Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amewasili mkoani Lindi leo Aprili 10,2025 kwa ajili ya ziara yake katika mikoa miwili ya Lindi na Mtwara.
Awali baada ya kuwasili mkuani humo alipita katika Kata ya Somanga Mtama iliyopo katika Jimbo la Kilwa Kaskazini mkoani Lindi kwa ajili ya kusalimia wananchi wa eneo hilo.
Aidha, Makalla kabla ya kusalimia wananchi hao alitembelea katika daraja la Somanga Mtama ambalo lilikatika na kupelekea kupotea kwa mawasiliano katika barabara ya Dar es salaam-Lindi na kuangalia hali inavyoendelea katika daraja hilo.
Akizungumza katika eneo baada ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega kutoa ufafanuzi mfupi Makalla alimpongeza kwa weledi mkubwa aliouonyesha kwa kuweza kurudisha mawasiliano hayo kwa muda mfupi na kumtaka aendelee kuwa mkali pale uzembe unapotendeka kwani kile anachokifanya ni kwa maslahi ya CCM kwa sababu wana dhamana kwa wananchi.
Zaidi ya Sh bilioni 100 zimetolewa kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa madaraja hayo, hivyo amemsisitiza Waziri Ulega kuhakikisha anasiamamia wakandarasi madaraja hayo yajengwe kwa ubora na kwa hadhi inauostahili kwani fedha zipo za kutosha.
CPA Makalla anatarajiwa kufanya mkutano wake hadhara na kuzungumza na wananchi katika eneo la Kilwa Masoko.
𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗔𝗥𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗚𝗢𝗠𝗔
15-09-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
15-09-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
15-09-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
15-09-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
15-09-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
15-09-2025
𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗜𝗠𝗘𝗪𝗘𝗞𝗔 𝗔𝗟𝗔𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗢 𝗞𝗜𝗟𝗔 𝗦𝗘𝗛𝗘𝗠𝗨 - 𝗖𝗣𝗔. 𝗔𝗠𝗢𝗦 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗟𝗟𝗔
15-09-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
15-09-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
15-09-2025
TAARIFA KWA UMMA
15-09-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
15-09-2025
𝗪𝗔𝗝𝗨𝗠𝗕𝗘 𝗠𝗦𝗜𝗖𝗛𝗔𝗚𝗨𝗘 𝗩𝗜𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗟𝗘𝗚𝗘𝗟𝗘𝗚𝗘 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗨𝗥𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗢𝗡𝗜 - (𝗠𝗖𝗖) 𝗚𝗔𝗩𝗨
15-09-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
15-09-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
15-09-2025
𝗖𝗖𝗠 𝗬𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜𝗧𝗜𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗚𝗢𝗠𝗕𝗘𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗭𝗜𝗡𝗚𝗔𝗧𝗜𝗔 𝗨𝗪𝗘𝗭𝗢, 𝗨𝗭𝗔𝗟𝗘𝗡𝗗𝗢 𝗡𝗔 𝗨𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗙𝗨, 𝗬𝗔𝗞𝗘𝗠𝗘𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗨𝗡𝗗𝗜 - 𝗖𝗗𝗘. 𝗚𝗔𝗩𝗨
15-09-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
15-09-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
15-09-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kufungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji wa pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
15-09-2025
ASANTE SIMIYU
15-09-2025
Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Wilayani Busega Mkoani Simiyu tarehe 15 Juni, 2025.
15-09-2025