NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amewataka Makatibu wa Wilaya,Mikoa,Wabunge na Wawakilishi nchini kufanya ziara za mara kwa mara za kusikiliza na kuratibu changamoto zinazowakabili wananchi.
Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na Wanachama wa CCM Jimbo la Pangawe Unguja,alisema Viongozi hao wana wajibu wa kusikiliza wananchi changamoto zao zitafutiwe ufumbuzi wa kudumu na mamlaka husika.
Dkt.Dimwa,alisema Wananchi wengi wanakabiliwa na changamoto zinazoweza kutafutiwa ufumbuzi kwa ngazi za Wilaya lakini zinashwa kufanyiwa kazi kutokana na uwepo wa urasimu kwa baadhi ya Watendaji.
"Chama Cha Mapinduzi ndio kimbilio la Wananchi kwani sisi tuna wajibu wa kuwasemea Wananchi ambao wengi wao sauti zao hazifiki sehemu husika lakini sisi tunafika hivyo tutekeleze wajibu wetu kikamilifu."alisema Dkt.Dimwa.
Alisema Chama Cha Mapinduzi ni daraja baina ya Serikali na Wananchi katika kutafsiri kwa vitendo dhana ya maendeleo endelevu katika nyanja za kiuchumi,kijamii na kisiasa.
Katika maelezo yake Naibu Katibu Mkuu hiyo Dkt.Dimwa,alieza kuwa ufanisi wa kiutendaji wa Serikali na Chama utaendelea kuimarika endapo Viongozi na watendaji watakuwa karibu na Wananchi.
Pamoja na hayo alisisitiza kufanyika kwa Vikao vya ngazi za Matawi na Mashina ili kujadili masuala ya msingi yanayowahusu Wanachama wa CCM kwa lengo la kuziwasilisha ngazi husika kwa ajili ya kufanyiwa maamuzi.
Kupitia Mkutano huo,alitaka kuimarishwa kwa mikakati ya kuongeza Wanachama wapya ambao ni mtaji wa kisiasa wa CCM hasa wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025.
Pamoja na hayo alisema msimamo wa CCM nikutekeleza kwa vitendo ibara ya 5 ya Katiba ya CCM ya mwaka 1977 toleo la Disemba 2022 inayoelekeza Chama kushinda Uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa kwa Tanzania bara na Zanzibar.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025