Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amewasihi wanachama wa chama hicho kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujisajili katika mfumo wa kielektroniki wa kadi za uanachama wa CCM
Kauli hiyo ameitoa katika ziara yake ya kuangalia na kukagua zoezi hilo linalofanyika katika matawi mbalimbali nchini alipotembelea matawi ya CCM ya Wilaya ya Mjini Kichama Unguja.
Alisema usajili huo ni muhimu kwa kila mwanachama anatakiwa kusajiliwa katika mfumo wa kielektroniki wa kadi hizo ili kutambulika katika mfumo huo kwa dhamira ya kupata haki mbalimbali za uanachama.
Dkt.Dimwa, alifafanua kuwa kila mwanachama aliyekuwa na kadi ya zamani ya gamba ambaye bado hajasajiliwa katika mfumo huo anatakiwa kwenda katika tawi lake la Chama cha Mapinduzi kwa ajili ya kujisajili.
“Wito wangu kwa wanachama wote tuendelee kuhamasishana kushiriki zoezi hili la usajili hasa kwa wanachama wote wenye sifa za kutimiza umri ambao wana kadi za zamani na wengine hawana hata hizo kadi waende katika matawi yetu kwa ajili ya usajili huu”, alisema Dkt.Dimwa.
Katika maelezo yake Dkt.Dimwa, aliwasisitiza watendaji wa CCM wanaosimamia zoezi hilo la usajili kuhakikisha kila mwanachama anapata haki hiyo ya kusajiliwa kwa wakati na taarifa zao zinahakikiwa kwa usahihi kabla ya kuingizwa katika mfumo huo.
Pamoja na hayo alisema kuwa CCM inaendeleza malengo yake ya kujiendesha katika mfumo wa sayansi na teknolojia ili kurahisisha masuala mbalimbali ya kiutendaji,kisiasa na kiuchumi yenye maslahi kwa wanachama wote nchini
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
02-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
02-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
02-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
02-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
02-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
02-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
02-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
02-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
02-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
02-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
02-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
02-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
02-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
02-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
02-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
02-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
02-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
02-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
02-01-2026
TAARIFA KWA UMMA
02-01-2026