KULIIBIA TAIFA NI KUJIIBIA MWENYEWE - BALOZI DKT. NCHIMBI
> Akemea tabia ya wizi na vitendo vya RUSHWA
> Awataka TAKUKURU kuendelea kufuatilia matumizi ya fedha ya miradi yote nchini
> Asisitiza matumizi sahihi ya fedha katika miradi ya serikali
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekemea tabia ya wizi na kulaani vikali watu wote wenye tabia ya wizi na vitendo vya rushwa.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi ya zamani ya makambako mkoani Njombe, Balozi Dkt. Nchimbi amewaomba viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa na kukemea tabia ya vijana kutofanya kazi na badala yake kujikita kwenye tabia za kufanya kazi zisizo halali.
Akitoa majibu ya kero za wananchi kuhusiana na tabia ya wizi na ujangili, Balozi Dkt. Nchimbi amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ndug. Mtaka kufanya uchunguzi ili kubaini vinara wa ujambazi na mauji kwa lengo la kuthibiti kabisa tabia hizo.
Vilevile, Balozi Dkt. Nchimbi amewataka viongozi wote wa serikali kuwa na matumizi sahihi ya fedha za umma na kuwataka TAKUKURU kuendelea na kazi yao nzuri ya kufuatilia miradi yote ya kimaendeleo kuanzia inavyoanza hadi kukamilika kwake.
" Mkoa wa Njombe mmepata Tsh Bilioni 900 hela hizo ni nyingi sana na nitumie nafasi hii kuwapongeza Mkuu wa mkoa na wabunge wenu kwa kutengeneza ushawishi wa kumfanya Rais Dkt. Samia kutoa fdha hizo ndani ya mkoa wenu "
" Vyombo vyote vya serikali vyenye mamlaka ya matumizi ya fedha za miradi hakikisheni pesa hizo zinatumika kihalali na msisubiri kukamata walioiba bali ni lazima mdhibiti na kuzuia mianya ya uibaji "
" TAKUKURU hakikisheni miradi yote hasa mikubwa ya maendeleo mnaifuatilia tangu ikiwa inaanza kuhakikisha hakuna fedha ya umma inaibiwa na kutumika vibaya, tunataka thamani ya fedha ieandane na thamani ya mradi husika "
ποΈ18 Aprili, 2024
πMkutano wa Hadhara Makambako - Njombe
π°ππππππππ ππππ ππππππππ ππ πππππππππππ!
01-06-2026
πππππ ππ ππππππ πππ ππππππ πππππππ ππππ ππ ππππππππ ππππππππ ππ πππ πππππ
ππππ
01-06-2026
πππππππ ππ πππ ππππ
π πππππ πππππ ππππππππ πππ, πππππππππππ
01-06-2026
πππππππ ππ πππ ππππ
π πππππ πππππ ππππππ ππ πππ ππππ ππ πππππππππππ
01-06-2026
ππ ππππ ππ πππππππ-πππππππππππ ππππ
01-06-2026
ππππ πππππ ππππ ππππππ πππππ ππ ππππ ππππππ πππππππ ππ πππππ
01-06-2026
MAWENZI YAVUNJA REKODI: MITUNGI 3,313 YA OKSIJENI YAZALISHWA KWA MIEZI 6, ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 126 ZAOKOLEWA!
01-06-2026
MAFURIKO YA WANANCHI WA SIHA KWENYE MKUTANO MKUBWA WA HADHARA
01-06-2026
MAPOKEZI YA KATIBU MWENEZI WA CCM NDUGU KENANI L KIHONGOSI MKOANI KILIMANJARO
01-06-2026
π° πππππππππ πππππππ πππ ππππππππ πππππππππππ
01-06-2026
CCM INAWATAKIA HERI YA SIKUKUU YA EID AL ADHA
01-06-2026
π°VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VYAIMARISHA MSHIKAMANO, DKT. DIMWA AHITIMISHA MAFUNZO MAALUM
01-06-2026
KATIBU WA NEC, ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO CCM TAIFA NDUGU KENANI KIHONGOSI AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ISIMANI EMMANUELA KAGANDA MTATIFIKOLO
01-06-2026
MUENDELEZO WA MAFUNZO YA VIONGOZI KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE β KIBAHA
01-06-2026
SIKU YA KWANZA YA MAFUNZO KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE LEADERSHIP SCHOOL.
01-06-2026
UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VYAMA SITA RAFIKI VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA
01-06-2026
MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CPC, KOMREDI LIU HAIXING IKULU DAR ES SALAAM
01-06-2026
KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM
01-06-2026
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
01-06-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
01-06-2026