Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Shirika la Kimataifa linaloshughulikia masuala ya Afya na quot AMREF heath Africa Group and quot; kwa kufanikisha mkutano wao hapa Zanzibar uliowashirikisha Mawaziri wa Afya kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika
Rais Dk. Mwinyi ametoa pongezi hizo Ikulu, Zanzibar alipotembelewa na uongozi wa Shirika hilo ulioambatana ujumbe wa Mawaziri hao kwa lengo la kumpa pole baada ya kufiwa na baba yake mzazi hivi karibuni, Marehemu Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais
Mstaafu wa Zanzibar na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Dk. Mwinyi amesifu hatua ya mkutano huo kushirikisha mataifa mbalimbali ya Afrika na kujadiliana masuala ya Afya na changamoto za Afya zinazoikumba Afrika.
Alisema, Shirika la & quot; AMREF health Afrika & quot; ni mdau muhimu kuwahi kufanyakazi na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa kwenye Sekta ya Afya. Pia, Rais Dk. Mwinyi ameeleza ushirikiano wa karibu uliopo baina ya & quot; AMREF Tanzania & quot; na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, na kuongeza kuwa Shirika hilo, limekua likiungamkono juhudi za Serikali kwa misaada mbalimbali, vifaa, mafunzo na kubadilisha uzoefu kwenye masuala ya Afya kwa lengo la kuboresha Sekta ya Afya, Zanzibar. Aidha, Rais Dk. Mwinyi ameushukuru ujumbe huo kwa kumfariji kutokana na msiba wa kufiwa na Baba yake mzazi hivi karibuni.
Naye, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo la AMREF Health Africa Group, Dk. Githinji Gitahi, amemueleza Rais Dk. Mwinyi adhma ya kuwepo kwao Zanzibar baada ya kufanikisha mkutano wa kimataifa wa Mawaziri wa Afya kutoka Afrika ambao walifanikiwa kujadili na kuweka mikakati madhubuti ya kuimarisha Sekta ya Afya, Afrika pamoja na kuzibiti magonjwa mbalimbali ikiwemo maradhi ya malaria na magonjwa yasiyoambukiza.
Aidha, Ofisa huyo alieleza namna ya & quot; AMREF health Afrika Group & quot; inavyofanyakazi Afrika. Wakati huo huo, Mkurugenzi wa & quot; AMREF - Tanzania", Dk. Florence Temu, alimueleza Rais Dk. Mwinyi kwamba Shirika hilo limekua na ushirikiano wa karibu na Serikali zote nmbili ya Mapinduzi ya Zanzibar na ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. AMREF Tanzania inafanya kazi kwa karibu na taasisi za umma na binafsi pamoja na mashirika ya Serikali, wafadhili, mashirika ya kijamii na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs)
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
03-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
03-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
03-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
03-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
03-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
03-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
03-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
03-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
03-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
03-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
03-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
03-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
03-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
03-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
03-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
03-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
03-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
03-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
03-01-2026
TAARIFA KWA UMMA
03-01-2026