NAFASI KUBWA KULIKO ZOTE KWENYE CCM NI UANACHAMA - DKT. NCHIMBI
> Apiga marufuku kuendeleza makundi baada ya chaguzi za ndani
> Awataka viongozi kutambua nafasi zao za utumishi
"Niwasihi wana CCM kataeni viongozi wa kuandikiwa, wa kuletwa mfukoni ninyi mnaishi na watu kwenye maeneo yenu na mnawajua , chagueni watu kwa sifa na mtu apewe kwa sifa zake sio za rafiki au mpambe wake"
"...lakini tujue kwenye uchaguzi kuna kusinda na kushindwa hivyo ni lazima tukubali matokeo mara baada ya chaguzi"
"Makosa makubwa ni kuendeleza makundi ya uchaguzi baada ya uchaguzi , makundi yaishe mara tu baada ya uchaguzi kutangazwa"
"Nafasi kubwa kulikonzote ndani ya CCM ni UANACHAMA, usichaguliwe kuwa kiongozi ukajiona wewe ndio mkubwa kuliko wote, wewe ni mtumishi na mda wowote unaweza kutumika sehemu nyingine kwa maslahi ya watu wote na sio kutumia nafasi yak kwa kuweka makundi"
"Viongozi lazima watambue nafasi zao za utumishi, ukiwa Mbunge unajua wewe ni mtumishi wa wananchi wako, ukiwa Waziri utambue wewe ni mtumisi wa wananchi wako ukitaka kujifanya boss lazima utapata changamoto kwenye uendeshaji wa eneo lako"
Vile vile, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameonesha hali ya kusikitishwa na suala la mmomonyoko wa maadili uliyokithiri Nchini.
Balozi Dkt. Nchimbi amekemea vikali tabia hiyo kwa baadhi ya wazazi na walezi wanoshindwa kutimiza wajibu wao vizuri na kupelekea watoto na vijana wengi kuwa na tabia zisizofaa katika jamii.
Akizungumza kwenye mkutano uliokutanisha Mabalozi wa mashina wa CCM , Viongozi wa Serikali, Taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali , Wazee na Viongozi wa Dini, Dkt. Nchimbi amewataka kwa pamoja kuwa sehemu ya kuendelea kuwa walinzi wazuri kwa watoto na vijana.
Dkt. Nchimbi ametoa shukrani za CCM kwa Viongozi wa Dini kwa kuendelea kuliombea Taifa kuendelea kuwa na Amani na Utulivu wakati wote.
" Viongozi wa dini mnafanya kazi kubwa sana katika kuuiombea na kuilinda Amani na Mshikamano wa Nchi yetu "
" Kuna wakati mnasali na kutufanya hadi anayesikiliza maombi kujiona na kutambia kwamba unayo sababu ya kuilinda Amani ya Nchi yetu "
" Nawaomba viongozi wa dini endeleeni kutoa maombi ya kuliombea Taifa katika masuala ya mmomonyoko wa maadili, kumekuwa na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa vijana na watoto wetu "
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
Akizungumza na Mabalozi wa mashina, Viongozi mbalimbali wa serikali, Taasisi zisizo za kiserikali, Wazee na Viongozi wa Dini.
πSumbawanga - Rukwa
ποΈ 15 Aprili, 2024
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
28-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
28-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
28-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
28-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
28-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
28-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
28-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
28-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
28-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
28-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
28-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
28-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
28-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
28-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
28-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
28-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
28-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
28-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
28-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
28-10-2025