NAFASI KUBWA KULIKO ZOTE KWENYE CCM NI UANACHAMA - DKT. NCHIMBI
> Apiga marufuku kuendeleza makundi baada ya chaguzi za ndani
> Awataka viongozi kutambua nafasi zao za utumishi
"Niwasihi wana CCM kataeni viongozi wa kuandikiwa, wa kuletwa mfukoni ninyi mnaishi na watu kwenye maeneo yenu na mnawajua , chagueni watu kwa sifa na mtu apewe kwa sifa zake sio za rafiki au mpambe wake"
"...lakini tujue kwenye uchaguzi kuna kusinda na kushindwa hivyo ni lazima tukubali matokeo mara baada ya chaguzi"
"Makosa makubwa ni kuendeleza makundi ya uchaguzi baada ya uchaguzi , makundi yaishe mara tu baada ya uchaguzi kutangazwa"
"Nafasi kubwa kulikonzote ndani ya CCM ni UANACHAMA, usichaguliwe kuwa kiongozi ukajiona wewe ndio mkubwa kuliko wote, wewe ni mtumishi na mda wowote unaweza kutumika sehemu nyingine kwa maslahi ya watu wote na sio kutumia nafasi yak kwa kuweka makundi"
"Viongozi lazima watambue nafasi zao za utumishi, ukiwa Mbunge unajua wewe ni mtumishi wa wananchi wako, ukiwa Waziri utambue wewe ni mtumisi wa wananchi wako ukitaka kujifanya boss lazima utapata changamoto kwenye uendeshaji wa eneo lako"
Vile vile, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameonesha hali ya kusikitishwa na suala la mmomonyoko wa maadili uliyokithiri Nchini.
Balozi Dkt. Nchimbi amekemea vikali tabia hiyo kwa baadhi ya wazazi na walezi wanoshindwa kutimiza wajibu wao vizuri na kupelekea watoto na vijana wengi kuwa na tabia zisizofaa katika jamii.
Akizungumza kwenye mkutano uliokutanisha Mabalozi wa mashina wa CCM , Viongozi wa Serikali, Taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali , Wazee na Viongozi wa Dini, Dkt. Nchimbi amewataka kwa pamoja kuwa sehemu ya kuendelea kuwa walinzi wazuri kwa watoto na vijana.
Dkt. Nchimbi ametoa shukrani za CCM kwa Viongozi wa Dini kwa kuendelea kuliombea Taifa kuendelea kuwa na Amani na Utulivu wakati wote.
" Viongozi wa dini mnafanya kazi kubwa sana katika kuuiombea na kuilinda Amani na Mshikamano wa Nchi yetu "
" Kuna wakati mnasali na kutufanya hadi anayesikiliza maombi kujiona na kutambia kwamba unayo sababu ya kuilinda Amani ya Nchi yetu "
" Nawaomba viongozi wa dini endeleeni kutoa maombi ya kuliombea Taifa katika masuala ya mmomonyoko wa maadili, kumekuwa na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa vijana na watoto wetu "
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
Akizungumza na Mabalozi wa mashina, Viongozi mbalimbali wa serikali, Taasisi zisizo za kiserikali, Wazee na Viongozi wa Dini.
πSumbawanga - Rukwa
ποΈ 15 Aprili, 2024
KIPINDI MAALUMU
08-06-2026
πππππππ ππππππ ππππππππππ ππππ
πππ πππππππππ ππππππππ ππ ππππππ πππ πππππππ ππππππ πππππ
08-06-2026
πππππππ ππππππ πππππππππ πππππ πππ ππ
ππ ππππππππ, ππππππ πππππ
08-06-2026
ππππππ ππππππππ ππππππππ πππππππππ ππππππ ππ ππππππππππ
08-06-2026
ππππππππ ππ ππππππ ππ πππ, πππππππ, ππππππ ππ πππ
ππππ πππ, πππππ ππππππ πππππ πππππππππ, ππ
πππ ππ πππ ππππππ ππ ππππππ πππππ
08-06-2026
ππππ ππ ππππππ πππππ, ππππππ ππππππ!
08-06-2026
πππππππ πππππππ ππππ ππ πππππππ πππππππ ππ ππππ ππ ππππππ
08-06-2026
ππππππ ππππππππ ππππππ ππ πππππ ππππππ ππππππ πππ πππππππ πππππππ
08-06-2026
πππππππππ πππππ πππππ πππππππ πππ πππππππ ππππ ππ πππππ
08-06-2026
πππππππ ππ πππππππ ππ πππππππ ππ πππ ππππ
π ππππππ ππ ππππππ - ππππ ππ ππππππ
08-06-2026
ππππ πππππ πππππππππ πππππππ ππ πππππππ πππππ
08-06-2026
πππππππ, πππππππ ππ πππ πππππππ!
08-06-2026
ππππ πππππ πππππ πππππ, πππππππ ππ πππππ
08-06-2026
πππππππππππ, ππππππππ
08-06-2026
ππππ πππ. πππππ πππππππ ππππππ, πππππ πππ πππππ ππ ππππππ
π
08-06-2026
πππππππ ππ πππ ππππ
π πππππππ ππππππ ππ πππππππππ πππ πππππ ππ ππππππ
08-06-2026
π
ππππ ππππ ππππ ππ πππππππ πππ!!!
08-06-2026
πππππππππ πππππππππ πππππ ππ. π ππππ ππ πππππ
08-06-2026
ππππππ πππππ πππ ππππππ
πππππ!!!
08-06-2026
πππππππππ πππππππ ππ ππππππππ ππππππ, πππππππππ ππ πππππππ ππππ πππ
08-06-2026