NAFASI KUBWA KULIKO ZOTE KWENYE CCM NI UANACHAMA - DKT. NCHIMBI
> Apiga marufuku kuendeleza makundi baada ya chaguzi za ndani
> Awataka viongozi kutambua nafasi zao za utumishi
"Niwasihi wana CCM kataeni viongozi wa kuandikiwa, wa kuletwa mfukoni ninyi mnaishi na watu kwenye maeneo yenu na mnawajua , chagueni watu kwa sifa na mtu apewe kwa sifa zake sio za rafiki au mpambe wake"
"...lakini tujue kwenye uchaguzi kuna kusinda na kushindwa hivyo ni lazima tukubali matokeo mara baada ya chaguzi"
"Makosa makubwa ni kuendeleza makundi ya uchaguzi baada ya uchaguzi , makundi yaishe mara tu baada ya uchaguzi kutangazwa"
"Nafasi kubwa kulikonzote ndani ya CCM ni UANACHAMA, usichaguliwe kuwa kiongozi ukajiona wewe ndio mkubwa kuliko wote, wewe ni mtumishi na mda wowote unaweza kutumika sehemu nyingine kwa maslahi ya watu wote na sio kutumia nafasi yak kwa kuweka makundi"
"Viongozi lazima watambue nafasi zao za utumishi, ukiwa Mbunge unajua wewe ni mtumishi wa wananchi wako, ukiwa Waziri utambue wewe ni mtumisi wa wananchi wako ukitaka kujifanya boss lazima utapata changamoto kwenye uendeshaji wa eneo lako"
Vile vile, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameonesha hali ya kusikitishwa na suala la mmomonyoko wa maadili uliyokithiri Nchini.
Balozi Dkt. Nchimbi amekemea vikali tabia hiyo kwa baadhi ya wazazi na walezi wanoshindwa kutimiza wajibu wao vizuri na kupelekea watoto na vijana wengi kuwa na tabia zisizofaa katika jamii.
Akizungumza kwenye mkutano uliokutanisha Mabalozi wa mashina wa CCM , Viongozi wa Serikali, Taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali , Wazee na Viongozi wa Dini, Dkt. Nchimbi amewataka kwa pamoja kuwa sehemu ya kuendelea kuwa walinzi wazuri kwa watoto na vijana.
Dkt. Nchimbi ametoa shukrani za CCM kwa Viongozi wa Dini kwa kuendelea kuliombea Taifa kuendelea kuwa na Amani na Utulivu wakati wote.
" Viongozi wa dini mnafanya kazi kubwa sana katika kuuiombea na kuilinda Amani na Mshikamano wa Nchi yetu "
" Kuna wakati mnasali na kutufanya hadi anayesikiliza maombi kujiona na kutambia kwamba unayo sababu ya kuilinda Amani ya Nchi yetu "
" Nawaomba viongozi wa dini endeleeni kutoa maombi ya kuliombea Taifa katika masuala ya mmomonyoko wa maadili, kumekuwa na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa vijana na watoto wetu "
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
Akizungumza na Mabalozi wa mashina, Viongozi mbalimbali wa serikali, Taasisi zisizo za kiserikali, Wazee na Viongozi wa Dini.
πSumbawanga - Rukwa
ποΈ 15 Aprili, 2024
ππππ ππ ππππ ππ πππππ; πππππ ππ ππππππππ, πππππππ πππππππ!!!!!
27-06-2026
ππππππ πππππ πππππ ππππππ ππππππππ ππ ππππππππππ
27-06-2026
πππππππ ππππππ πππππππ πππππ ππ πππππππππππ ππππππππ, ππππππ-ππππππ
27-06-2026
πππππππ ππππππ πππππππππ πππππ ππ. ππ πππ
ππ
π, πππππππππ πππππ, πππππ ππ ππππππππππ
27-06-2026
πππππ ππ πππ
ππππ ππ ππ
ππππ ππππππ πππ
πππππ π
ππππ ππ πππππ πππ ππππππ
27-06-2026
ππππππ, ππππ ππππ ππ πππ!
27-06-2026
πππππ: πππ. πππππ ππππππ ππππππ ππ πππππππππππ ππππππ ππ πππππ ππ πππ
27-06-2026
ππππ ππππππ, πππππ ππ πππππππ ππππππ!
27-06-2026
πππππ πππππππ πππ
πππππ; βπππππ
ππππππππππππππβ πππππππ πππππππ ππ πππππππ!
27-06-2026
ππππππ πππ πππππππππππ ππ ππ
πππππ ππ πππππππππ ππ ππππππ ππ ππππππππ: πππππππππ
27-06-2026
πππ ππππππ πππππ ππππππππ ππ ππππππ πππ ππππ ππ ππππππππππ ππππ
27-06-2026
πππππ ππ ππππππ ππ πππππππππ: πππππππππ
27-06-2026
πππππππππ πππππ ππππππ!!
27-06-2026
πππππ πππππππππ ππππππ, πππππππ ππππππππ ππ πππ ππππππ πππππ ππ ππππ ππ πππ πππ πππππππ
27-06-2026
πππππ: πππ ππππππππππππ ππππππ, ππππππππ ππππππππππ πππππππ ππππππππππ ππ ππππππππ
27-06-2026
ππππππ ππππππππππ, πππππππππ πππππ πππππππ!
27-06-2026
ππππππ ππ ππππππππ ππ% πππππππππ ππππππ ππ πππππππ ππππππ
27-06-2026
πππ πππππ πππππππππ ππππππ, πππππππ πππππ ππ ππππππππππ ππππ πππππ ππ πππ
27-06-2026
πππππ ππ ππππ ππ ππππππππ
π ππ πππππ ππ ππ
ππππ
27-06-2026
πππ. ππππ ππππππππππ ππππ ππππππππππ, πππππππππ ππ ππππ ππππππππ ππππππ ππππ πππππππππ
π: πππππ
27-06-2026