Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM

alternative

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha siku mbili cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachokutana  Jijini Dar Es Salaam leo Jumanne tarehe 28 Aprili, 2026.

alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine