MACHIFU WA UFIPA WAOMBA MAKUMBUSHO YA WAFIPA, WAKIMSIMIKA UCHIFU CHONGOLO
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Godfrey Chongolo amesimikwa Uchifu na Wazee wa Kabila la Wafipa mkoani Rukwa na kukabidhiwa mkuki na upinde na kuvalishwa mgolole, huku wakiomba wajengewe Makumbusho ya Kabila la Wafipa.
Tukio hilo liliongozwa na Chifu wa Kabila la Wafipa, Chifu Malema Mtuka Sinyangwe, ambapo mapokezi ya Katibu Mkuu Chongolo yalifanyika wilaya ya Nkasi baada ya kuingia Mkoa wa Rukwa akitokea Katavi, akiendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/25, kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi na kuhamasisha uhai wa CCM.
Chongolo alipokelewa eneo la Palamawe wilayani Nkasi mkoani Rukwa Jumapili Oktoba 8, 2023 na atakuwa katika mkoa huo kwa ziara ya siku tano.
"Ardhi hii ya Nkasi ikumbukwe kwamba harakati za kuutafuta ukumbozi wa nchi yetu, Wapigania uhuru walishirikisha sana wazee wetu waliotutangualia," amesema Chifu Malema wakati akimsimika Uchifu Ndugu Chongolo.
Aidha amesema fimbo ya kwanza katika taifa letu ilitoka ufipa kwa heshima ya baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,na leo Serikali ya CCM imewapa heshima kubwa Wanarukwa kwa kumpeleka Mwana wa Baba wa Taifa Charles Makongoro Nyerere.
Baada ya kumsimika Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo kuwa Chifu wa Wafipa,Chifu Malema alitumia nafasi hiyo kuiomba Serikali kujenga makumbusho ya kuhufadhi Kumbukumbu za mila za Kifipa ili zisipotee kutokana na Utandawazi.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025