HATUWEZI KUJENGA CHAMA CHA WATU WENYE NONGWA - BALOZI DKT. NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekemea vikali tabia ya baadhi ya wanachama na viongozi kuwa na nongwa jambo ambalo linapelekea kupoteza upendo, umoja na mshikamano na kutengeneza makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameyasema hayo kwenye mkutano wa ndani uliokutanisha viongozi mbalimbali wa CCM kuanzia ngazi ya mashina, Viongozi wa Serikali, Taaisi zisizo za kiserikali, Wazee na Viongozi wa dini.
"Umoja kwa wanachama na viongozi na jambo la muhimu na kwa kadri inavyowezekana muhakikishe suala hilo linakuwa la msingi na la kwanza baina yenu"
"Tukienda kwenye chaguzi zetu na tukimaliza chaguzi mambo ya huko yaishe, msijikite katika kuendelea nayo"
"Nongwa za uchaguzi ziishe , unakuta chaguzi zimeisha miaka 4 iliyopita lakini unakuta mtu bado ana nongwa kuanzia aliyeshinda hadi aliyeshindwa, hatuwezi kujenga Chama cha watu wenye nongwa"
Aidha, Amepongeza tabia ya baadhi ya viongozi na wanachama kuwa na msimamo na kutoyumbishwa daima na badala yake kusimamia kwenye kuzingatia katiba na miongozo ya Chama Cha Mapinduzi"
Sambamba na hilo Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini ambaye pia ni Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu. Damas Ndumbaro ametoa salamu za pongezi kwa niaba ya wananchi wa Songea mjini kwa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa kuaminia na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Ndugu. Ndumbaro amesema wananchi wa Songea wakati wote wanaendelea kumuona Balozi Dkt. Nchimbi kama mbunge wao kwa kazi kubwa aliyoifanya na kuendelea kuwa sehemu ya kuwasaidia.
Aidha, Ndugu. Ndumbaro amesema wananchi wa songea mjini wakati wote hawatayumba na wataendelea kuwa mstari wa mbele katika kusemea kazi kubwa inayofanywa na serikali ya Rais Samia.
Vilevile, Ndugu. Ndumbaro amewasilisha changamoto ya wananchi wa songea mjini ya kuhitaji kupata barabara unganishi za kiwango cha lami kwa kuunganisha Ruvuma na Mkoa wa Morogoro na Ruvuma na Nchi jirani ya Msumbiji.
ποΈ20 Aprili, 2024
πSongea Mjini - Ruvuma
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025