HATUWEZI KUJENGA CHAMA CHA WATU WENYE NONGWA - BALOZI DKT. NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekemea vikali tabia ya baadhi ya wanachama na viongozi kuwa na nongwa jambo ambalo linapelekea kupoteza upendo, umoja na mshikamano na kutengeneza makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameyasema hayo kwenye mkutano wa ndani uliokutanisha viongozi mbalimbali wa CCM kuanzia ngazi ya mashina, Viongozi wa Serikali, Taaisi zisizo za kiserikali, Wazee na Viongozi wa dini.
"Umoja kwa wanachama na viongozi na jambo la muhimu na kwa kadri inavyowezekana muhakikishe suala hilo linakuwa la msingi na la kwanza baina yenu"
"Tukienda kwenye chaguzi zetu na tukimaliza chaguzi mambo ya huko yaishe, msijikite katika kuendelea nayo"
"Nongwa za uchaguzi ziishe , unakuta chaguzi zimeisha miaka 4 iliyopita lakini unakuta mtu bado ana nongwa kuanzia aliyeshinda hadi aliyeshindwa, hatuwezi kujenga Chama cha watu wenye nongwa"
Aidha, Amepongeza tabia ya baadhi ya viongozi na wanachama kuwa na msimamo na kutoyumbishwa daima na badala yake kusimamia kwenye kuzingatia katiba na miongozo ya Chama Cha Mapinduzi"
Sambamba na hilo Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini ambaye pia ni Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu. Damas Ndumbaro ametoa salamu za pongezi kwa niaba ya wananchi wa Songea mjini kwa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa kuaminia na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Ndugu. Ndumbaro amesema wananchi wa Songea wakati wote wanaendelea kumuona Balozi Dkt. Nchimbi kama mbunge wao kwa kazi kubwa aliyoifanya na kuendelea kuwa sehemu ya kuwasaidia.
Aidha, Ndugu. Ndumbaro amesema wananchi wa songea mjini wakati wote hawatayumba na wataendelea kuwa mstari wa mbele katika kusemea kazi kubwa inayofanywa na serikali ya Rais Samia.
Vilevile, Ndugu. Ndumbaro amewasilisha changamoto ya wananchi wa songea mjini ya kuhitaji kupata barabara unganishi za kiwango cha lami kwa kuunganisha Ruvuma na Mkoa wa Morogoro na Ruvuma na Nchi jirani ya Msumbiji.
ποΈ20 Aprili, 2024
πSongea Mjini - Ruvuma
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
18-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
18-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
18-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
18-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
18-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
18-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
18-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
18-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
18-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
18-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
18-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
18-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
18-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
18-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
18-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
18-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
18-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
18-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
18-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
18-03-2026