ππ ππππ πππππ πππππππππππππ πππππ πππ πππππ πππππππ ππππππ ππππππππ - ππππππ πππ. πππππππ
"Ni kosa kubwa sana kukilazimisha chama cha siasa kuingia kwenye uchaguzi"
"Zimeanza kusikika taarifa za baadhi ya wananchi na wana CCM wakiilazimisha CHADEMA iingie kwenye uchaguzi, ni haki yao kususia na kutoingia kwenye uchaguzi"
"...Na nina hakika rafiki yangu Tundulisu hawatakubali kupoteza haki zote mbili, atleast ya kuchagua wataitumia vizuri"
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ---- wakati akifungua mkutano maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) unaofanyika leo Aprili 04, 2025 Songea mkoani Ruvuma
#KaziNaUtuTunasongaMbele