๐๐๐ ๐ฌ๐๐ฆ๐๐ฆ๐๐ง๐๐ญ๐ ๐ช๐๐๐ข๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐๐๐๐๐๐๐ช๐ ๐๐ช๐ ๐๐จ๐ญ๐๐ก๐๐๐ง๐๐ ๐จ๐ช๐๐ญ๐ข, ๐จ๐ญ๐๐๐๐ก๐๐ข ๐ก๐ ๐จ๐๐๐๐๐๐๐จ, ๐ฌ๐๐๐๐ ๐๐ ๐ ๐๐๐จ๐ก๐๐ - ๐๐๐. ๐๐๐ฉ๐จ
๐๐๐ ๐๐ค ๐๐๐ซ๐๐ง๐ช๐๐ช๐จ๐๐ฌ๐ ๐ ๐ช๐ฌ๐๐ ๐ ๐ข๐จ๐๐ข๐๐ข๐ค ๐ ๐ฌ๐ ๐ฃ๐๐๐๐จ๐ ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ค๐ฉ๐ ๐๐ฃ๐๐ฎ๐ค๐๐ค๐ข๐๐๐ฌ๐
Katibu wa NEC - Oganaizesheni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu. ๐๐๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ท๐ถ ๐จ๐๐๐ถ ๐๐ฎ๐๐ leo tarehe 21 Juni 2025 amefungua ๐ ๐ฎ๐ณ๐๐ป๐๐ผ ๐ ๐ฎ๐ฎ๐น๐๐บ ๐๐ฎ ๐ช๐ฎ๐ท๐๐บ๐ฏ๐ฒ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐น๐บ๐ฎ๐๐ต๐ฎ๐๐ฟ๐ถ ๐๐๐ ๐๐ฎ ๐๐๐ ๐๐ฎ ๐ช๐ถ๐น๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ ๐ธ๐ผ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ฟ๐ถ๐ป๐ด๐ฎ yenye lengo ya kuendelea kujenga chama katika misingi imara na thabiti yaliyofanyika katika ukumbi wa Chuo Cha UVCCM Ihemi Mkoani Iringa.
Akiziungumza na Wajumbe hao, Ndg. Gavu amewataka viongozi ngazi ya Mkoa, WIlaya na Kata kuwa wakati utakapofika wa kujadili majina ya wagombea , wajadili kwa kuzingatia uwezo, sifa nzuri, uzalendo na uadilifu na si kwa kuweka mbele ukabila, urafiki wala undugu kwakuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akihusudu kwenye hayo.
Ndg. Gavu amesema iwapo mgombea ana sifa za kugombea na anakubalika kwa jamii basi apewe kipaumbele bila kujali ni adui kwa baadhi ya wajumbe, kikao kinatakiwa kimpendekeze kwakuwa huyo atafaa kuwa mgombea kwa maslahi ya Chama Cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla, lakini iwapo mgombea hana sifa na hakubaliki kwenye jamii basi hata kama ni rafiki wa wajumbe hatakiwi kupendekezwa na kikao husika.
Akitoa msisitizo zaidi kuhusiana na wagombea wenye kuhitajika, Ndg. Gavu amesema CCM inataka vikao vyake kwa ngazi zote vitoe mustakabali mzima Maendeleo kwa Watanzania kwa ujumla kwa kuwapata wagombea walio tayari wakati wowote kujikosoa, kukosolewa na kukosoana.
Aidha, Ndg. Gavu ametoa onyo kali kwa kikao chochote kile kuweka au kutangaza msimamo kwa nafasi yoyote inayogombewa iwe Ubunge ama Udiwani na badala yake misingi ya Haki, Usawa na Uwazi izingatiwe.
Vilevile, Ndg. Gavu amesema vikao vitatakiwa kuzingatia aliyeongoza kwa kura za maoni isipokuwa kama iwapo itabainika wazi kuwa kura hizo alizipata kwa njia ya rushwa basi katika mchujo kikao hakitamteua kugombea nafasi aliyoiomba na lazima aelezwe wazi tuhuma zake.
Akihitimisha katika hotuba yake, Ndg. Gavu amesema vikao vyote vya uchujaji na uteuzi vizingatie mujibu wa Katiba na Kanuni za CCM, ambapo amesema CCM inaendelea kuwasihi wajumbe kuzingatia miiko na misingi ya CCM ili kutimiza lengo la Ibara ya 5 la kushinda katika chaguzi zote.
#OktobaTunatikiโ
#KaziNaUtuTunasongaMbele
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
03-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
03-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
03-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
03-03-2026
๐๐๐ฆ๐๐๐ก๐๐ข ๐๐๐ ๐๐๐ง. ๐ ๐๐๐๐ฅ๐ข ๐๐๐๐ฃ๐ข๐๐๐๐๐ช๐ ๐๐ช๐ ๐ฆ๐๐๐ก๐๐ช๐ ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐
03-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
03-03-2026
๐ฉ๐๐๐๐ก๐ ๐ง๐จ๐๐๐๐ก๐๐ ๐๐ ๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐ก๐๐๐ ๐ฌ๐๐ง๐จ - ๐ ๐ช๐๐ก๐๐ญ๐ ๐๐๐ก๐๐ก๐
03-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
03-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
03-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
03-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
03-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
03-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
03-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
03-03-2026
๐จ๐๐๐๐ฃ๐๐๐๐ญ๐ ๐ช๐ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐จ๐ ๐๐๐๐ง๐ ๐๐ ๐๐ก๐ ๐๐ช๐ ๐ช๐๐ฃ๐๐ก๐ญ๐๐ก๐, ๐ช๐๐๐๐จ๐๐๐๐ ๐๐๐
๐๐๐ฉ๐๐๐ช ๐๐ ๐ช๐ช ๐ฟ๐ ๐ฉ. ๐๐๐๐๐ง๐ค ๐๐ฌ๐๐ฅ๐ค๐ ๐๐ ๐๐๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐ ๐ฌ๐ ๐พ๐๐ผ๐ฟ๐๐๐ผ ๐ฃ๐ ๐ผ๐พ๐
03-03-2026
๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐๐ง๐จ๐ ๐ก๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐๐ฅ๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐ข๐ ๐
03-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
03-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
03-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
03-03-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
03-03-2026