Serikali imedhamiria kutumia kiasi cha Tshs.Bilioni 79 kujenga Vituo vya Polisi Kata 698 katika maeneo mbalimbali nchini lengo ikiwa kutataua changamoto za kiusalama kwa jamii ambapo kila kituo kinatarajiwa kugharimu kiasi cha shilingi milioni 115.
Hayo yamebainika tarehe 14 machi jijini Dar es Salaam wakati wa uwasilishwaji wa utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Vituo vya Polisi Kata ambapo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) na Jeshi la Polisi.
Ripoti hiyo ya utekelezaji imewasilishwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni huku ikihudhuriwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Adolph Ndunguru,Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Dkt.Maduhu Kazi,Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI,Sospeter Mtwale na wataalamu kutoka pande zote zinazohusika na mradi huo.
Akizungumza katika kikao hicho Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni amesema adhma ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kumaliza tatizo la uhalifu kwa kulipeleka Jeshi la Polisi chini kwa wananchi na ndio maana amepandisha vyeo kwa ngazi ya nyota moja kwa askari katika maeneo mbalimbali nchini ili wakaongoze Vituo vya Polisi Kata na kushirikiana na wananchi katika dhana nzima ya kudhibiti uhalifu.
‘Rais Samia ametoa ajira na kupandisha vyeo askari akitaka jeshi lishuke chini kwa wananchi ili kuweza kupambana na uhalifu kuanzia ngazi ya kata kwa Tanzania Bara na ngazi ya Shehia kwa Zanzibar na ndio maana tunataka kuona mradi huu unaanza ili tuweze kufikia lengo husika,jamii ikon a wahalifu na inawajua ndio maana tunataka tusogee chini ili tuweze kusaidiana na jamii yae neo husika kudhibiti uhalifu.’ Alisema Waziri Masauni
Mradi huo utatekelezwa kwa fedha za Serikali kupitia Bajeti ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI,wadau na mapato ya ndani ya Halmashauri husika kuanzia mwaka wa fedha 2024/25 mpaka 2026/2027 huku utaratibu wa force akaunti ambapo wataalamu wa Jeshi la Polisi,Halmashauri,taasisi zingine za serikali,wananchi na wadau mbalimbali watatumika kutekeleza mradi.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
25-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
25-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
25-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
25-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
25-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
25-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
25-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
25-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
25-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
25-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
25-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
25-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
25-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-03-2026