Serikali imedhamiria kutumia kiasi cha Tshs.Bilioni 79 kujenga Vituo vya Polisi Kata 698 katika maeneo mbalimbali nchini lengo ikiwa kutataua changamoto za kiusalama kwa jamii ambapo kila kituo kinatarajiwa kugharimu kiasi cha shilingi milioni 115.
Hayo yamebainika tarehe 14 machi jijini Dar es Salaam wakati wa uwasilishwaji wa utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Vituo vya Polisi Kata ambapo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) na Jeshi la Polisi.
Ripoti hiyo ya utekelezaji imewasilishwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni huku ikihudhuriwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Adolph Ndunguru,Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Dkt.Maduhu Kazi,Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI,Sospeter Mtwale na wataalamu kutoka pande zote zinazohusika na mradi huo.
Akizungumza katika kikao hicho Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni amesema adhma ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kumaliza tatizo la uhalifu kwa kulipeleka Jeshi la Polisi chini kwa wananchi na ndio maana amepandisha vyeo kwa ngazi ya nyota moja kwa askari katika maeneo mbalimbali nchini ili wakaongoze Vituo vya Polisi Kata na kushirikiana na wananchi katika dhana nzima ya kudhibiti uhalifu.
‘Rais Samia ametoa ajira na kupandisha vyeo askari akitaka jeshi lishuke chini kwa wananchi ili kuweza kupambana na uhalifu kuanzia ngazi ya kata kwa Tanzania Bara na ngazi ya Shehia kwa Zanzibar na ndio maana tunataka kuona mradi huu unaanza ili tuweze kufikia lengo husika,jamii ikon a wahalifu na inawajua ndio maana tunataka tusogee chini ili tuweze kusaidiana na jamii yae neo husika kudhibiti uhalifu.’ Alisema Waziri Masauni
Mradi huo utatekelezwa kwa fedha za Serikali kupitia Bajeti ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI,wadau na mapato ya ndani ya Halmashauri husika kuanzia mwaka wa fedha 2024/25 mpaka 2026/2027 huku utaratibu wa force akaunti ambapo wataalamu wa Jeshi la Polisi,Halmashauri,taasisi zingine za serikali,wananchi na wadau mbalimbali watatumika kutekeleza mradi.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
25-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
25-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
25-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
25-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
25-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
25-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
25-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
25-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
25-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
25-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
25-10-2025