Wasira: CCM Itaendelea Kushika Dola Kwa Sababu ya Sera Zake Bora
Wasira: CCM Itaendelea Kushika Dola Kwa Sababu ya Sera Zake Bora*
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stevin Wasira, amesema chama hicho kitaendelea kushika dola kutokana na sera zake bora zinazolenga kuboresha maisha ya wananchi, huku akisisitiza kuwa vyama vya upinzani haviwezi kushindana na CCM kwa sababu ya migogoro ya ndani na ukosefu wa mshikamano miongoni mwao.
Akizungumza leo, Januari 23, 2025, mbele ya mamia ya wakazi wa Dodoma, Wasira alisema, "CCM itaendelea kushika dola kwa sababu tumejidhihirisha kupitia utekelezaji wa sera bora zinazogusa maisha ya wananchi moja kwa moja. Wananchi wanajua tuna uwezo wa kusimamia maendeleo endelevu kwa vitendo."
Aliongeza kuwa vyama vya upinzani haviwezi kuwa tishio kwa CCM kwa sababu kabla hata hawajafika Ikulu, wanashikana mashati kwa migogoro ya ndani, hali inayoonyesha kutokuwepo kwa umoja na maono ya pamoja. "Hakuna majaribio ya kupeana zamu ya Ikulu kwa kubahatisha; wananchi wanahitaji uthabiti, uzoefu, na uongozi wenye dira, mambo ambayo CCM inayo," aliongeza.
Wasira pia aliwahimiza wakazi wa Dodoma na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuwaunga mkono viongozi wa CCM katika uchaguzi wa mwaka huu wa Rais, Wabunge, na Madiwani. Alibainisha kuwa CCM ina dhamira ya kuendeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kauli yake imepokelewa kwa shangwe na wakazi waliohudhuria mkutano huo, huku akiwahakikishia kuwa CCM itaendelea kusikiliza na kushughulikia changamoto za wananchi kwa uwajibikaji na uadilifu. "CCM ni chama cha watu, na tutaendelea kufanya kazi kwa ajili ya wananchi kwa misingi ya haki, maendeleo, na mshikamano," alihitimisha Wasira.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
13-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
13-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
13-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
13-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
13-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
13-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
13-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
13-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
13-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
13-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
13-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
13-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
13-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
13-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
13-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
13-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
13-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
13-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
13-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
13-03-2026