TUTUNZE AMANI-MJEMA
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Ndg. Sophia Mjema, amewasihi Watanzania kutunza amani ya nchi.
Ameyasema hayo leo tarehe 17 Oktoba, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara katika kata Sudi, Lindi Vijijini.
"Amani ya nchi tuitunze ndugu zangu, kuna nchi nyingine mtoto anazaliwa hadi anazeeka ni milio ya mitutu tu, maendeleo yanapatikana katika amani," amesema Ndg. Mjema.
Ndg. Mjema ambaye alikuwa mkoani Lindi kuendesha mafunzo ya falsafa, itikadi na sera za CCM kwa viongozi na watendaji wa CCM, amesema demokrasia itumike kuimarisha amani.
Amesema fursa ya demokrasia nchini inatokana na uongozi makini wa CCM, na kimekuwa kikiitekeleza ndani ya chama kwa vitendo.
Amewataka wananchi kuchuja maneno wanayoambiwa au kuyasikia kutoka katika majukwaa ya siasa.
Amesema wako wanasiasa wanasema uongo na kuwataka wananchi waachane nao.
Amesema wananchi NI mashahidi kwamba chini ya uongozi mahiri wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, nchi inasonga mbele katika maendeleo.
Amesema katika kipindi kifupi, tangu amekuwa Rais, maendeleo makubwa katika kila sekta yamepatikana.
"Vituo vya afya, shule, maji, barabara, umeme, taja chochote, hakuna kilichosimama, mabilioni ya fedha yanashuka hadi vitongojini," amesema.
Ndg. Mjema amesema katika uchaguzi mkuu wa 2020, CCM iliahidi maendeleo kwa Watanzania na sasa inatekeleza.
"Usidanganywe na mtu, CCM imeahidi imetekeleza na kazi inaendelea," amesema na kuongeza kwamba "mtu ukimpa nafasi akakudanganya, maana yake anakudharau."
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
20-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
20-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
20-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
20-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
20-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
20-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
20-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
20-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
20-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
20-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
20-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
20-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
20-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
20-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
20-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
20-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
20-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
20-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
20-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
20-03-2026