KUTOKULIPA ADA YA UANACHAMA NI KUJINYIMA HAKI YAKO MWENYEWE - NDG. GAVU
> Akemea tabia ya baadhi ya Viongozi kutumia madaraka kujilimbukizia mali
"Ibara ya 16 ya katiba ya chama chetu inaeleza wazi neno kiongozi ya kwamba ni mwanachama aliyepewa dhamana kwa kuchaguliwa au kuteuliwa, sifa kubwa lazima uwe mwanachama na nyenzo na msingi mkubwa ni kuwa mwanachama na ili uwe mwanachama hai yapaswa kulipa ada na kuudhuria vikao."
"Hakuna mwanachama asiyetokana na shina, kila shina lina miongozo na taratibu kwa mujibu wa katiba ya CCM, niwaombe viongozi wetu turudi tukawaambie watu tunaowaongoza umuhimu wa kulipa ada na kushiriki vikao."
"Kutokulipa ada ni kujinyima haki yako mwenyewe ya kuchagua, kuchaguliwa au kutokutana na wenzio."
"CCM tunaona ni jambo la aibu au kashfa kuwa na kiongozi asiyetosheka na hii haimaniishi CCM inapalilia maskini, tunapenda matajiri waliopata utajiri kwa njia za halali na shuguli za halali, kunyanyasa na kuwatenga watu CCM haitakupenda, na matajiri wa kutusaidia ni wale ambao utajiri wao uwe wa halali."
"Kukiwa na kiogozi anayetumia madaraka yake kulimbukiza mali hana sifa ya kuwa kiongozi na Chama chetu na Serikali yetu"
Ndugu. Issa Haji Gavu
Katibu wa NEC - Oganaizesheni wa CCM Taifa
🗓️19 Aprili, 2024
📍Njombe
𝐈𝐑𝐈𝐍𝐆𝐀 𝐓𝐔𝐍𝐀𝐊𝐔𝐉𝐀𝐀𝐀, 𝐓𝐔𝐍𝐀𝐀𝐍𝐙𝐈𝐀 𝐑𝐔𝐀𝐇𝐀 𝐌𝐁𝐔𝐘𝐔𝐍𝐈!
17-06-2026
𝐌𝐈𝐊𝐎𝐏𝐎 𝐘𝐀 𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐌𝐈𝐀 𝟏𝟎% 𝐘𝐀𝐂𝐇𝐎𝐂𝐇𝐄𝐀 𝐔𝐂𝐇𝐔𝐌𝐈 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐌𝐀𝐀𝐋𝐔𝐌
17-06-2026
𝐍𝐃𝐆 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀 𝐀𝐏𝐎𝐊𝐄𝐋𝐄𝐖𝐀 𝐑𝐔𝐕𝐔𝐌𝐀, 𝐀𝐇𝐈𝐌𝐈𝐙𝐀 𝐔𝐌𝐎𝐉𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐒𝐇𝐈𝐊𝐀𝐌𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐃𝐈𝐎 𝐍𝐆𝐔𝐕𝐔 𝐘𝐀 𝐂𝐂𝐌
17-06-2026
𝐊𝐇𝐄𝐑𝐈 𝐘𝐀 𝐒𝐈𝐊𝐔 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐌𝐀𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐖𝐀 𝐀𝐅𝐑𝐈𝐊𝐀
17-06-2026
𝐌𝐇𝐄. 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐀𝐍𝐀𝐖𝐀𝐏𝐄𝐍𝐃𝐀 𝐒𝐀𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀, 𝐖𝐀𝐓𝐔𝐌𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐔𝐌𝐌𝐀 𝐓𝐈𝐌𝐈𝐙𝐄𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐉𝐈𝐁𝐔 𝐖𝐄𝐍𝐔 𝐊𝐈𝐊𝐀𝐌𝐈𝐋𝐈𝐅𝐔: 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀
17-06-2026
𝐂𝐂𝐌 𝐇𝐀𝐈𝐓𝐎𝐑𝐔𝐃𝐈 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐔𝐋𝐈𝐍𝐃𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐋𝐀𝐇𝐈 𝐘𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐋𝐈𝐌𝐀 𝐖𝐀 𝐊𝐎𝐑𝐎𝐒𝐇𝐎: 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀
17-06-2026
𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐁𝐔 𝐖𝐀 𝐍𝐄𝐂, 𝐈𝐓𝐈𝐊𝐀𝐃𝐈, 𝐔𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐍𝐙𝐎 𝐖𝐀 𝐂𝐂𝐌 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀
17-06-2026
𝐂𝐂𝐌 𝐘𝐀𝐇𝐈𝐌𝐈𝐙𝐀 𝐒𝐈𝐀𝐒𝐀 𝐙𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐓𝐀𝐀𝐑𝐀𝐁𝐔 𝐊𝐔𝐋𝐈𝐍𝐃𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐍𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐋𝐈𝐕𝐔 𝐖𝐀 𝐍𝐂𝐇𝐈
17-06-2026
𝐕𝐈𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈 𝐋𝐈𝐍𝐃𝐈 𝐕Y𝐀𝐌𝐒𝐇𝐔𝐊𝐔𝐑𝐔 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐊𝐎𝐏𝐎 𝐈𝐒𝐈𝐘𝐎 𝐍𝐀 𝐑𝐈𝐁𝐀
17-06-2026
𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀: 𝐂𝐂𝐌 𝐈𝐍𝐀𝐓𝐇𝐀𝐌𝐈𝐍𝐈 𝐉𝐀𝐒𝐇𝐎 𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀
17-06-2026
𝐁𝐀𝐀𝐃𝐇𝐈 𝐘𝐀 𝐍𝐔𝐊𝐔𝐔 𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
17-06-2026
𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
17-06-2026
𝐍𝐔𝐊𝐔𝐔 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎
17-06-2026
𝐍𝐃𝐆. 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀 𝐀𝐏𝐎𝐊𝐄𝐋𝐄𝐖𝐀 𝐌𝐊𝐎𝐀 𝐖𝐀 𝐋𝐈𝐍𝐃𝐈 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐌𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈
17-06-2026
𝐂𝐂𝐌 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐅𝐈𝐀 𝐌𝐀𝐄𝐍𝐃𝐄𝐋𝐄𝐎, 𝐘𝐀𝐎𝐍𝐘𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐎𝐇𝐀𝐌𝐀𝐒𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐕𝐔𝐍𝐉𝐈𝐅𝐔 𝐖𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈
17-06-2026
🔰𝐍𝐃𝐆. 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐌𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈, 𝐓𝐀𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈, 𝐍𝐆𝐎'𝐒 𝐍𝐀 𝐕𝐘𝐀𝐌𝐀 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈
17-06-2026
📊 𝐕𝐈𝐏𝐀𝐔𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄 𝐕𝐘𝐀 𝐁𝐀𝐉𝐄𝐓𝐈 𝐊𝐔𝐔 𝐘𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐈𝐊𝐀𝐋𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔/𝟐𝟎𝟐𝟕
17-06-2026
📢 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
17-06-2026
📢 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐎𝐆𝐄𝐙𝐖𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
17-06-2026
𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
17-06-2026