KUTOKULIPA ADA YA UANACHAMA NI KUJINYIMA HAKI YAKO MWENYEWE - NDG. GAVU
> Akemea tabia ya baadhi ya Viongozi kutumia madaraka kujilimbukizia mali
"Ibara ya 16 ya katiba ya chama chetu inaeleza wazi neno kiongozi ya kwamba ni mwanachama aliyepewa dhamana kwa kuchaguliwa au kuteuliwa, sifa kubwa lazima uwe mwanachama na nyenzo na msingi mkubwa ni kuwa mwanachama na ili uwe mwanachama hai yapaswa kulipa ada na kuudhuria vikao."
"Hakuna mwanachama asiyetokana na shina, kila shina lina miongozo na taratibu kwa mujibu wa katiba ya CCM, niwaombe viongozi wetu turudi tukawaambie watu tunaowaongoza umuhimu wa kulipa ada na kushiriki vikao."
"Kutokulipa ada ni kujinyima haki yako mwenyewe ya kuchagua, kuchaguliwa au kutokutana na wenzio."
"CCM tunaona ni jambo la aibu au kashfa kuwa na kiongozi asiyetosheka na hii haimaniishi CCM inapalilia maskini, tunapenda matajiri waliopata utajiri kwa njia za halali na shuguli za halali, kunyanyasa na kuwatenga watu CCM haitakupenda, na matajiri wa kutusaidia ni wale ambao utajiri wao uwe wa halali."
"Kukiwa na kiogozi anayetumia madaraka yake kulimbukiza mali hana sifa ya kuwa kiongozi na Chama chetu na Serikali yetu"
Ndugu. Issa Haji Gavu
Katibu wa NEC - Oganaizesheni wa CCM Taifa
ποΈ19 Aprili, 2024
πNjombe
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025