RAISI WA ZANZIBAR DK HUSSEIN ALI MWINYI AMESEMA SUALA LA MSAADA WA KISHERIA SIO LA ZANZIBAR PEKEE BALI NI LA KIMATAIFA NA LINA HISTORIA KUBWA DUNIANI
Alisema, Zanzibar inawajibu wa kukeleza kwa vitendo huduma za sheria kama lilivyoelezwa kwenye Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, kifungu cha 12 pamoja na Sheria nyengine mbalimbali zilizopo nchini. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya nne ya wiki ya msaada wa Sheria, yaliyofanyika ukumbi wa Idrissa Abdul wakili, Kikwajuni Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Alisema, watoaji wa msaada wa sheria ni kiungo muhimu cha upatikanaji wa haki nchini hasa kwa wananchi wasio na uwezo wa fedha katika msada wa sheria. Dk. Mwinyi alieleza lengo la kilele cha maadhimisho hayo ni kuzifanya huduma za kisheria kuwa endelevu na zenye kuleta tija kwa jamii sambamba na kutatua changamoto nyengine zinazokwaza huduma za utoaji wa kisheria nchini. Alieleza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora itaendelea kushirikiana na watoa msaada wa kisheria kwa kuhakikisha wanaendelea kutwaa tunzo zaidi, pia wanapata mazingira bora ya kutekeleza majukumu yao ya kazi.
Pia Dk. Mwinyi alieleza Serikali itahakikisha marekebisho ya Sera na Sheria ya Msaada wa Kisheria yanafanyika kwa ufanisi na haraka ili kukidhi matakwa yanayotakiwa.
Akizungumzia suala la upatikanaji wa vifaa na vitendelea kazi kwa wasaidizi wa wasaidizi wa kutoa msaada wa sheria, Rais Dk. Mwinyi aliwaahidi kwamba seikali inaunga mkono shughuli wanazozifanya b
upatikanaji wa vifaa vya kutendea kazi nayo ni changamoto nyengine. Mazingira wezeshi ya utoaji huduma yanahitaji kuwa na vifaa vya kutosheleza, vikiwemo vyombo vya usafiri, vifaa vya Ofisi kama vile printa, mashine za Fotokopi,
Komputa na kadhalika. Vinapokosekana vifaa hivi, ni dhahiri kuwa daraja la ufikiaji haki nalo hukosekana. Aidha, aliwataka watendaji mbalimbali wa Serikali na taasisi binafsi na vyombo vya kusimamia haki, kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Watoaji msaada wa
kisheria ili kuwajengea uwezo wa kufanikisha kazi zao kwa uweledi. Sambamba na kuwaunga mkono na kupata ushirikiano wa kutosha.Hata hivyo alitoa kwa jamii nakuwataka kutimiza wajibu wao kila mmoja kwanafasiyake ili kuwe na mazingira bora ya upatikanaji msaada wa kisheria na kuzidi kuimarisha kiwango cha utawala bora nchini na misingi ya haki za binadamu. Akizungumza kwenye hafla hiyo, Jaji Mstafu Robert Makaramba alisema, maadhimisho ya 2023 yamekwenda sambmba na mazingira ya uboreshaji wa mifumo, miundo, sera na sheria zinazohakikisha huduma za msaada wa sheria zinatolewa katika hadhi ya zenye lengo la kufikia uwezeshaji wa Serikali kwa kushirikiana na watoa msaada ya kisheria, wadau wa maendeleo, taasisi za kiraia,
wadau wa sekta za haki wakiwemo Mahakama, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, Polisi, Chuo cha Mafunzo na jamii husika.Nae Mkurugenzi wa Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria Zanzibar, Hanifa Ramadhan Said alieleza, watoaji wa msaada wa sheria wanafanya kazi kwa kujitolea na uzalendo kwa uhakikisha wananchi wa Zanzibar wasio na uwezo wanafikiwa na huduma za kisheria kwa sehemu zote ili kutatuliwa haja zao kisheria.
Alisema, maadhimisho hayo walishirikiana na taasisi zote zinazohusu masuala ya sheria, wakiwemo Mahakama, jeshi la Polisi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, Chuo cha Mafunzo na wadau wengine. Maadhimisho hayo ya msaada wa sheria yaliyokuwa na kauli mbiu “Mazingira wezeshi kwa watoa msaada wa kisheria ni daraja la upatikanaji haki” ambayo yalianza Julai 17 na kuadhimishwa Julai 22 mwaka huu yalitanguliwa na shughuli mbalimbali za uhamasishaji ikiwemo kampeni ya vyumbo vya Habari,mkutano na vyombo vya Habari, kutembelea vyombo 21 vya Habari, kufanya program ya vijana kwa Unguja na Pemba, mihadhara na jamii, kufanya usafi wa mazingira kwenye hospitali ya wagonjwa wa Akili, Kidongochekundu, kufanya bonaza na hatimae kuadhimisha kilele halisi wiki ya msaada wa kisheria.
𝐌𝐇𝐄. 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐀𝐍𝐀𝐖𝐀𝐏𝐄𝐍𝐃𝐀 𝐒𝐀𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀, 𝐖𝐀𝐓𝐔𝐌𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐔𝐌𝐌𝐀 𝐓𝐈𝐌𝐈𝐙𝐄𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐉𝐈𝐁𝐔 𝐖𝐄𝐍𝐔 𝐊𝐈𝐊𝐀𝐌𝐈𝐋𝐈𝐅𝐔: 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀
16-06-2026
𝐂𝐂𝐌 𝐇𝐀𝐈𝐓𝐎𝐑𝐔𝐃𝐈 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐔𝐋𝐈𝐍𝐃𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐋𝐀𝐇𝐈 𝐘𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐋𝐈𝐌𝐀 𝐖𝐀 𝐊𝐎𝐑𝐎𝐒𝐇𝐎: 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀
16-06-2026
𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐁𝐔 𝐖𝐀 𝐍𝐄𝐂, 𝐈𝐓𝐈𝐊𝐀𝐃𝐈, 𝐔𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐍𝐙𝐎 𝐖𝐀 𝐂𝐂𝐌 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀
16-06-2026
𝐂𝐂𝐌 𝐘𝐀𝐇𝐈𝐌𝐈𝐙𝐀 𝐒𝐈𝐀𝐒𝐀 𝐙𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐓𝐀𝐀𝐑𝐀𝐁𝐔 𝐊𝐔𝐋𝐈𝐍𝐃𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐍𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐋𝐈𝐕𝐔 𝐖𝐀 𝐍𝐂𝐇𝐈
16-06-2026
𝐕𝐈𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈 𝐋𝐈𝐍𝐃𝐈 𝐕Y𝐀𝐌𝐒𝐇𝐔𝐊𝐔𝐑𝐔 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐊𝐎𝐏𝐎 𝐈𝐒𝐈𝐘𝐎 𝐍𝐀 𝐑𝐈𝐁𝐀
16-06-2026
𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀: 𝐂𝐂𝐌 𝐈𝐍𝐀𝐓𝐇𝐀𝐌𝐈𝐍𝐈 𝐉𝐀𝐒𝐇𝐎 𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀
16-06-2026
𝐁𝐀𝐀𝐃𝐇𝐈 𝐘𝐀 𝐍𝐔𝐊𝐔𝐔 𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
𝐍𝐔𝐊𝐔𝐔 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎
16-06-2026
𝐍𝐃𝐆. 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀 𝐀𝐏𝐎𝐊𝐄𝐋𝐄𝐖𝐀 𝐌𝐊𝐎𝐀 𝐖𝐀 𝐋𝐈𝐍𝐃𝐈 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐌𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈
16-06-2026
𝐂𝐂𝐌 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐅𝐈𝐀 𝐌𝐀𝐄𝐍𝐃𝐄𝐋𝐄𝐎, 𝐘𝐀𝐎𝐍𝐘𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐎𝐇𝐀𝐌𝐀𝐒𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐕𝐔𝐍𝐉𝐈𝐅𝐔 𝐖𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈
16-06-2026
🔰𝐍𝐃𝐆. 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐌𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈, 𝐓𝐀𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈, 𝐍𝐆𝐎'𝐒 𝐍𝐀 𝐕𝐘𝐀𝐌𝐀 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈
16-06-2026
📊 𝐕𝐈𝐏𝐀𝐔𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄 𝐕𝐘𝐀 𝐁𝐀𝐉𝐄𝐓𝐈 𝐊𝐔𝐔 𝐘𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐈𝐊𝐀𝐋𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔/𝟐𝟎𝟐𝟕
16-06-2026
📢 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
📢 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐎𝐆𝐄𝐙𝐖𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
KIPINDI MAALUMU
16-06-2026
𝐌𝐖𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐊𝐄𝐍𝐀𝐍𝐈 𝐀𝐒𝐈𝐌𝐀𝐌𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐒𝐀𝐅𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐀𝐋𝐈𝐌𝐈𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐍𝐂𝐇𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐈𝐖𝐄 𝐂𝐇𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐃𝐄𝐌𝐀 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐉𝐈𝐍𝐈
16-06-2026
𝐌𝐖𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐊𝐄𝐍𝐀𝐍𝐈 𝐀𝐓𝐄𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔𝐎 𝐂𝐇𝐀 𝐀𝐅𝐘𝐀 𝐊𝐀𝐋𝐎𝐋𝐄𝐍𝐈, 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐉𝐈𝐍𝐈
16-06-2026
𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐘𝐀𝐀𝐌𝐁𝐈𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐂𝐇𝐀𝐆𝐔𝐀 𝐌𝐀𝐄𝐍𝐃𝐄𝐋𝐄𝐎 𝐁𝐀𝐃𝐀𝐋𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐀𝐍𝐃𝐀𝐌𝐀𝐍𝐎
16-06-2026