WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.
.
LINDI: Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na chama Cha mapinduzi ( CCM)
Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani na mwenyekiti kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Said Kitunguli wamepokelewa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara Wilaya ya Lindi Mjini mkoani Lindi.
Awali, Makalla alikuwa akitambulisha wageni alioambatana nao hususani walio hamia kutoka katika vyama vya upinzani ili kutoa salamu zao kwa wananchi.
Miongoni wa walioambatana na Makalla katika msafara huo ni aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa.
Pia aliambatana na Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mawasiliano wa chama cha Wananchi (CUF), Abdul Kambaya akifuatiwa na Rashid Sepanga ambaye alihamia CCM Novemba, mwaka jana na kusema kuwa wanachama hao wapya walikuwa ni zawadi kwa CCM.
Aidha, akizungumza kwa upande wake Kitunguli alisema kuwa alikuwa mwanachama wa CCM mwaka 2008 alihama na kuhamia CUF akieleza utekelezaji wa Ilani ya CCM chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndo sababu kubwa ya kuwamfanya ahamie CCM.
“Mimi nilikuwa CCM 2008 nikatoka nikaenda kuusoma upinzani kitu kikubwa ambacho ndugu zangu mliobaki huko sijui mnabakia kwa lipi mimi nilikuwa diwani na nikawa mwenyekiti wa mtaa vyote sidhani uliko nje ulikuwa unabakisha nini,” amesema Kitunguli.
Ameongeza kuwa akiwa upinzani kitu walichojifunza ni ukaidi na vurugu lakini sio kufanya mambo yenye manufaa kwa wananchi.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025