CHAMA KIMEJIPANGA KWA USHINDI - WASIRA.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amezungumza na wanachana na viongozi wa Chama wilayani ileje mkoani Songwe akiwa katika siku ya tatu ya ziara yake mkoani humo.
Akizungumza na wana CCM hao katika Ukumbi wa Seselembe, Ileje leo, Machi 16, 2025, Wasira amesema Chama kinaingia katika uchaguzi mkuu wa mwaka kikiwa hakina wawasi wa kushinda kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.
"Chama Cha Mapinduzi kinaingia katika uchaguzi kikiwa na hakika ya ushindi kutokana na kazi kubwa ya kuleta maendeleo iliyofanywa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, tunavisihi vyama viingie vya siasa viingie katika uchaguzi huu na wananchi endeleeni kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapigakura," amesema Wasira.
Awali baada ya kuwasili wilayani humo akiwa katika siku ya mwisho ya ziara yake kwa Mkoa wa Songwe, Wasira alipokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM na hali ya siasa ya wilaya hiyo, kisha kuweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la kitegauchumi cha Chama wilaya ya Ileje na kuongoza uchangiaji wa ujenzi wa jengo hilo.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
12-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
12-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
12-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
12-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
12-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
12-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
12-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
12-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
12-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
12-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
12-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
12-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
12-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
12-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
12-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
12-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
12-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
12-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
12-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
12-11-2025