๐ฆ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฅ๐๐๐ฆ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐๐ช๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐ก๐๐๐๐๐ข ๐๐๐๐ ๐ฆ๐๐๐๐ ๐จ - ๐๐ฃ๐. ๐๐ ๐ข๐ฆ ๐ ๐๐๐๐๐๐
๐๐๐ฉ๐๐ฃ๐ฏ๐๐ฃ๐๐ ๐ฃ๐ ๐ข๐๐จ๐๐ช๐๐ช๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ฎ๐ค.
๐ผ๐๐๐๐๐ช๐ ๐จ๐๐ง๐ ๐ฎ๐ ๐๐๐ฉ๐๐ฃ๐ฏ๐๐ฃ๐๐ ๐ ๐ช๐๐ฃ๐๐๐ก๐๐ ๐ ๐ช๐ ๐๐๐ข๐๐ฃ๐ ๐พ๐๐๐ข๐ ๐พ๐๐ ๐๐๐ฅ๐๐ฃ๐๐ช๐ฏ๐ (๐พ๐พ๐)
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA. ๐๐บ๐ผ๐ ๐ ๐ฎ๐ธ๐ฎ๐น๐น๐ฎ amesema Kila mahali katika nchi Tanzania kumeguswa kimaendeleo na serikali ya awamu ya sita inayotokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuongozwa na Rais Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป.
CPA. Makalla ameeleza kuwa wapo wananchi kutoka maeneo mbalimbali walioshuhudia pasipo kuahadisiwa maendeleo ya uwepo wa shule mpya za msingi na sekondari, vituo vya afya na hospitali, maji mjini na vijijini, umeme mjini na vijijini, madaraja lakini sambamba na kukua kiuchumi kwa pato la mtu mmoja mmoja.
Akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma, CPA. Makalla amebainisha kuwa uwepo wa maendeleo hayo yanayoonekana pasipo kuhadisiwa ndio yaliyopelekea Watanzania kuendelea kukiamini na kukipa kura za kutosha Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Mwaka jana 2024.
Aidha, CPA. Makalla ametumia msemo usemao "๐ ๐ข๐ซ๐ข๐บ๐ฐ ๐บ๐ข๐ฏ๐ข๐ง๐ถ๐ณ๐ข๐ฉ๐ช๐ด๐ฉ๐ข ๐ป๐ข๐ช๐ฅ๐ช" katika kuwaaminisha wananchi kuwa Serikali ya CCM kupitia Ilani yake mpya ya Uchaguzi ya Mwaka (2025-2030) inaenda kufanya makubwa zaidi kwa maslahi mapana ya Watanzania na Taifa kwa Ujumla.
"...๐๐๐๐จ ๐ฟ๐ ๐ฉ. ๐๐๐ข๐๐ ๐๐ฃ๐๐๐ฃ๐๐๐ ๐ ๐๐ฉ๐๐ ๐ ๐ง๐๐ ๐ค๐๐ ๐ฏ๐ ๐๐๐ง๐๐๐จ ๐๐ข๐๐๐ค ๐ฌ๐๐ข๐๐ฅ๐๐ก๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐ ๐ฃ๐ฎ๐๐ฃ๐๐ ๐ฏ๐ ๐ข๐๐๐ฃ๐๐๐ก๐๐ค ๐ ๐ช๐ก๐๐ ๐ค ๐๐ฌ๐๐ข๐ช ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ค๐ฉ๐"
"๐๐๐ ๐ช๐ฃ๐ ๐๐ฌ๐๐ข๐ช ๐ฃ๐ฏ๐ช๐ง๐ ๐๐ก๐๐ฎ๐ค๐ก๐๐ฉ๐ ๐๐๐๐๐ ๐ฏ๐๐๐๐ ๐ฏ๐ ๐ข๐๐๐ฃ๐๐๐ก๐๐ค ๐ ๐๐ข๐ ๐๐ฌ๐๐ข๐ช ๐ฎ๐ ๐จ๐๐ฉ๐ ๐๐ฃ๐๐ฎ๐ค๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐ฌ๐ ๐ฃ๐ ๐๐๐๐จ ๐ฟ๐ ๐ฉ. ๐๐๐ข๐๐.."
๐๏ธ23 Juni 2025
๐Mpwapwa - Dodoma
#OktobaTunatikiโ
#KaziNaUtuTunasongaMbele