Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA

alternative

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Manyara kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Babati mjini katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani humo tarehe 04 Oktoba, 2025.

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine