𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗔𝗥𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗚𝗢𝗠𝗔
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho Dkt. Philip Isdor Mpango mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kigoma kwa ajili ya kuendelea na Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho mkoani Kigoma tarehe 12 Septemba, 2025.
Dkt. Samia amewasili mkoani humo na tayari wananchi wa Kigoma wapo tayari kusikiliza sera za CCM na ahadi zake, kuanzia kesho Jumamosi tarehe 13 Septemba 2025.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
28-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
28-10-2025
𝗨𝗖𝗛𝗔𝗣𝗔𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗨𝗠𝗘𝗟𝗘𝗧𝗔 𝗜𝗠𝗔𝗡𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗣𝗜𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜, 𝗪𝗔𝗜𝗞𝗨𝗕𝗔𝗟𝗜 𝗖𝗖𝗠
𝙆𝙖𝙩𝙞𝙗𝙪 𝙈𝙠𝙪𝙪 𝘿𝙠𝙩. 𝙈𝙞𝙜𝙞𝙧𝙤 𝙖𝙬𝙖𝙥𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙑𝙞𝙤𝙣𝙜𝙤𝙯𝙞 𝙬𝙖 𝘾𝙃𝘼𝘿𝙀𝙈𝘼 𝙣𝙖 𝘼𝘾𝙏
28-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
28-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
28-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
28-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
28-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
28-10-2025
𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗜𝗠𝗘𝗪𝗘𝗞𝗔 𝗔𝗟𝗔𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗢 𝗞𝗜𝗟𝗔 𝗦𝗘𝗛𝗘𝗠𝗨 - 𝗖𝗣𝗔. 𝗔𝗠𝗢𝗦 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗟𝗟𝗔
28-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
28-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
28-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
28-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
28-10-2025
𝗪𝗔𝗝𝗨𝗠𝗕𝗘 𝗠𝗦𝗜𝗖𝗛𝗔𝗚𝗨𝗘 𝗩𝗜𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗟𝗘𝗚𝗘𝗟𝗘𝗚𝗘 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗨𝗥𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗢𝗡𝗜 - (𝗠𝗖𝗖) 𝗚𝗔𝗩𝗨
28-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
28-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
28-10-2025
𝗖𝗖𝗠 𝗬𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜𝗧𝗜𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗚𝗢𝗠𝗕𝗘𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗭𝗜𝗡𝗚𝗔𝗧𝗜𝗔 𝗨𝗪𝗘𝗭𝗢, 𝗨𝗭𝗔𝗟𝗘𝗡𝗗𝗢 𝗡𝗔 𝗨𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗙𝗨, 𝗬𝗔𝗞𝗘𝗠𝗘𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗨𝗡𝗗𝗜 - 𝗖𝗗𝗘. 𝗚𝗔𝗩𝗨
28-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
28-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
28-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kufungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji wa pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
28-10-2025