𝗨𝗖𝗛𝗔𝗣𝗔𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗨𝗠𝗘𝗟𝗘𝗧𝗔 𝗜𝗠𝗔𝗡𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗣𝗜𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜, 𝗪𝗔𝗜𝗞𝗨𝗕𝗔𝗟𝗜 𝗖𝗖𝗠 𝙆𝙖𝙩𝙞𝙗𝙪 𝙈𝙠𝙪𝙪 𝘿𝙠𝙩. 𝙈𝙞𝙜𝙞𝙧𝙤 𝙖𝙬𝙖𝙥𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙑𝙞𝙤𝙣𝙜𝙤𝙯𝙞 𝙬𝙖 𝘾𝙃𝘼𝘿𝙀𝙈𝘼 𝙣𝙖 𝘼𝘾𝙏
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro amewapokea wanachama watatu (3) ambao mmoja ni Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na wawili wa ACT Wazalendo wote wa Mkoa wa Manyara, leo tarehe 4 Oktoba 2025.
Dkt. Migiro amewakaribisha wananchama hao katika mkutano wa kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻, uliofanyika katika Uwanja wa Stendi ya zamani ya mabasi ya Babati, mkoani Manyara.
Wanachama hao ni aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya ACT Wazalendo Bw. Olekai Letion Laizer, Aliyekuwa Katibu wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo Simanjiro Bw. Daniel Lucas Pamoja na Bw. Abubakari Abdalah, aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Babati Mjini na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa kupitia chama hicho.
Wakizungumzia sababu za kuhamia CCM, wanachama hao wamesema kuwa ni kutokana na kazi kubwa ya kuleta maendeleo kwa Watanzania na Taifa kwa ujumla lakini kuepukana na upinzani usio wa staha wenye kupandikiza chuki, kuhamasisha vurugu, kebehi na matusi na wenye kuweka mbele maslahi binafsi badala ya Taifa na kuwa na uzalendo.
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
27-11-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
27-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
27-11-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
27-11-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
27-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
27-11-2025
𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗔𝗥𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗚𝗢𝗠𝗔
27-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
27-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
27-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
27-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
27-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
27-11-2025
𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗜𝗠𝗘𝗪𝗘𝗞𝗔 𝗔𝗟𝗔𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗢 𝗞𝗜𝗟𝗔 𝗦𝗘𝗛𝗘𝗠𝗨 - 𝗖𝗣𝗔. 𝗔𝗠𝗢𝗦 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗟𝗟𝗔
27-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
27-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
27-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
27-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
27-11-2025
𝗪𝗔𝗝𝗨𝗠𝗕𝗘 𝗠𝗦𝗜𝗖𝗛𝗔𝗚𝗨𝗘 𝗩𝗜𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗟𝗘𝗚𝗘𝗟𝗘𝗚𝗘 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗨𝗥𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗢𝗡𝗜 - (𝗠𝗖𝗖) 𝗚𝗔𝗩𝗨
27-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
27-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
27-11-2025