๐ช๐๐๐จ๐ ๐๐ ๐ ๐ฆ๐๐๐๐๐๐จ๐ ๐ฉ๐๐ข๐ก๐๐ข๐ญ๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ช๐๐ก๐ฌ๐ ๐๐จ๐ฅ๐ ๐ญ๐ ๐ ๐๐ข๐ก๐ - (๐ ๐๐) ๐๐๐ฉ๐จ
Katibu wa NEC - Oganaizesheni wa CCM Taifa (MCC) ๐๐๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ท๐ถ ๐จ๐๐๐ถ ๐๐ฎ๐๐ leo tarehe 23 Juni 2025 ameshiriki Mkutano Mkuu Maalum wa Jimbo la Kinondoni Wilayani Kinondoni Jijini Dar es salaam akiwa Mgeni Rasmi, uliofanyika katika Ukumbi wa Ubungo Plaza.
Katika mkutano huo, Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Tarimba Abbas amewasilisha taarifa yake ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka (2020 - 2025)
Akizungumza na Wajumbe, Cde. Gavu amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinawataka Wajumbe kuhakikisha katika kura za maoni hawachagui kiongozi legelege kwakuwa hatokuwa chachu ya upiganiaji maslahi ya Wananchi anaowaongoza, maslahi ya CCM na maslahi mapana ya Taifa kwa ujumla.
Cde. Gavu amesisitiza kuwa Viongozi wanahitajika kuendana na misingi ya utawala bora, uzalendo, uadilifu na kujitoa pasipo kusahau kukubali kukosolewa na wao kukosoa mahali panapohitajika kwa lengo la kuweka mambo sawa.
"๐๐ช๐จ๐๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ ๐ค๐จ๐ ๐ก๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐จ๐๐๐ ๐ช๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐ฃ๐๐๐๐จ๐ ๐ฏ๐ ๐๐ค๐ก๐ (๐๐๐ช๐ฃ๐๐ ๐ฃ๐ ๐๐๐๐ฌ๐๐ฃ๐) , ๐จ๐๐๐จ๐ ๐ฎ๐ ๐พ๐พ๐ ๐ ๐๐๐ก๐ ๐ฎ๐ ๐ช๐๐๐๐๐ช๐ฏ๐ ๐๐ฃ๐๐ ๐ช๐ฌ๐ ๐ ๐ฌ๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ข๐๐๐ช๐ ๐ฌ๐๐ ๐ฎ๐ ๐ ๐๐จ๐๐๐จ๐ ๐ ๐๐ข๐ ๐ซ๐ฎ๐๐ข๐ ๐ซ๐๐ฃ๐๐๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐ฅ๐๐ข๐๐๐ฃ๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐จ๐๐ง๐ ๐ฃ๐ ๐๐ค๐๐, ๐ฉ๐ช๐ ๐๐ข๐๐ก๐๐ฏ๐ ๐ช๐๐๐๐๐ช๐ฏ๐ ๐จ๐๐๐จ๐ ๐ฎ๐ ๐พ๐พ๐ ๐๐ฃ๐๐๐๐ข๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ข๐๐๐๐ง๐๐ฏ๐ ๐ก๐ ๐๐๐๐๐ฌ๐๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ๐ฝ๐ช๐ฃ๐๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ข๐๐ช๐ง๐ ๐ฎ๐ ๐๐ช๐ช๐ฃ๐๐๐ฃ๐ค ๐ฌ๐ ๐๐๐ฃ๐ฏ๐๐ฃ๐๐.."
"๐๐ ๐๐๐๐๐๐ช๐ ๐ฌ๐๐ฉ๐ช ๐ก๐๐๐๐ก๐๐๐ ๐ข๐๐๐ฃ๐ ๐ฎ๐๐ ๐ ๐ข๐ฃ๐๐ฅ๐๐ก๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐ฉ๐ช ๐ฌ๐ ๐จ๐๐๐จ๐ ๐ก๐๐๐๐ก๐๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ฝ๐๐ง๐๐ฏ๐ ๐ก๐ ๐๐๐๐๐ฌ๐๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ๐ฝ๐ช๐ฃ๐๐๐ฃ๐.."
Aidha, Cde. Gavu amesisitiza kuwa CCM inahitaji watu wenye nia na dhamira ya dhati ya kupambania changamoto za wananchi kwa kuzitatua iwe kwa nguvu ya serikali ama jitihada zake binafsi, haiitaji watu wenye kusubiria kupokea mishahara na posho, inahitaji watu wenye kujituma kwa maslahi mapana ya ya Watanzania.
Vilevile, amepiga marufuku kumpendekeza mgombea ambaye hata Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakijui.
"๐๐๐๐ฌ๐๐ฏ๐๐ ๐๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐ข๐ฅ๐๐ฃ๐๐๐ ๐๐ฏ๐ ๐ข๐ฉ๐ช ๐ ๐ฌ๐๐ฃ๐๐ ๐ ๐ช๐๐ค๐ข๐๐๐ ๐ฃ๐๐๐๐จ๐ ๐ฏ๐ ๐ช๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐ ๐ ๐ช๐ฅ๐๐ฉ๐๐ ๐๐๐๐ข๐ ๐๐๐๐ฉ๐ช ๐๐ข๐๐๐ฎ๐ ๐๐๐ฉ๐ ๐๐๐๐ข๐ ๐๐๐๐ฃ๐ฎ๐๐ฌ๐ (๐พ๐พ๐) ๐๐๐ ๐๐๐ช๐, ๐๐๐๐ช๐ ๐ ๐๐ข๐๐ฉ๐ ๐ฎ๐ ๐จ๐๐๐จ๐ ๐ฃ๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐, ๐๐๐ก๐ข๐๐จ๐๐๐ช๐ง๐ ๐ ๐ช๐ช ๐ฃ๐ ๐ ๐๐ ๐๐ค ๐๐๐ฃ๐, ๐ข๐ ๐ช๐ฉ๐๐ฃ๐ค ๐ข๐ ๐ช๐ช ๐ฃ๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐...๐๐๐๐ฌ๐๐ฏ๐๐ ๐๐ฃ๐.."
"๐ฏ๐๐ฅ๐ค ๐ฃ๐๐๐๐จ๐ ๐ฏ๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ฃ๐๐๐ ๐๐จ๐๐ ๐ ๐๐ข๐ ๐ข๐ฌ๐๐ฃ๐๐ฃ๐๐๐๐ข๐ ๐ข๐ฅ๐ฎ๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ช๐ฃ๐ฏ๐ ๐ก๐๐ ๐๐ฃ๐ ๐จ๐๐ค ๐ข๐ฉ๐ช ๐ ๐๐ข๐ ๐๐ช๐ฎ๐ค ๐ ๐ช๐ฅ๐๐ฌ๐ ๐ฃ๐๐๐๐จ๐ ๐ฎ๐ ๐ ๐ช๐ฅ๐๐ฅ๐๐ง๐ช๐จ๐๐ ๐๐๐ฃ๐๐๐ง๐ ๐ฎ๐ ๐ช๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐"
Cde. Gavu amemaliza hotuba yake kwa kusisitiza Haki na Usawa katika vikao vya maamuzi ndani ya Chama kwa ngazi zote za Kata, Wilaya na Mkoa.
#OktobaTunatikiโ
#KaziNaUtuTunasongaMbele
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
27-11-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
27-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
27-11-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
27-11-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
27-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
27-11-2025
๐จ๐๐๐๐ฃ๐๐๐๐ญ๐ ๐ช๐ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐จ๐ ๐๐๐๐ง๐ ๐๐ ๐๐ก๐ ๐๐ช๐ ๐ช๐๐ฃ๐๐ก๐ญ๐๐ก๐, ๐ช๐๐๐๐จ๐๐๐๐ ๐๐๐
๐๐๐ฉ๐๐๐ช ๐๐ ๐ช๐ช ๐ฟ๐ ๐ฉ. ๐๐๐๐๐ง๐ค ๐๐ฌ๐๐ฅ๐ค๐ ๐๐ ๐๐๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐ ๐ฌ๐ ๐พ๐๐ผ๐ฟ๐๐๐ผ ๐ฃ๐ ๐ผ๐พ๐
27-11-2025
๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐๐ง๐จ๐ ๐ก๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐๐ฅ๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐ข๐ ๐
27-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
27-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
27-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
27-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
27-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
27-11-2025
๐ฆ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฅ๐๐๐ฆ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐๐ช๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐ก๐๐๐๐๐ข ๐๐๐๐ ๐ฆ๐๐๐๐ ๐จ - ๐๐ฃ๐. ๐๐ ๐ข๐ฆ ๐ ๐๐๐๐๐๐
27-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
27-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
27-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
27-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
27-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
27-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
27-11-2025