RABIA: MRADI WA KUSINDIKA, KUCHAKATA GESI ASILIA UTAIFUNGUA LINDI KWA MAENDELEO
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid, amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatambua umuhimu wa mradi wa kuchakata gesi (LNG) kwa maendeleo ya taifa.
Akizungumza mkoani Lindi Julai 30, 2024, akiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi aliyeongozana na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti mkoani Lindi, Rabia amesema kuwa mchakato wa utekelezaji wa mradi huo unaendelea.
Rabia amesema kuwa utekelezaji wa mradi LNG ni maelekezo na ahadi ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2024 na kwamba mwakani hatua mbalimbali zitafikiwa ikiwamo kutia saini mikataba ya utekelezaji huo.
Aidha, amesema kuwa kuanza kwa mradi huo kutazalisha ajira nyingi za kudumu na za muda mfupi kwa wakazi wa Lindi na mkoa huo utaendelea kupata maendeleo kupitia mauzo ya bidhaa na huduma mbalimbali wakati wa utekelezaji wa mradi huo wenye thamani ya sh. trilioni 70.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
12-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
12-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
12-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
12-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
12-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
12-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
12-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
12-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
12-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
12-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
12-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
12-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
12-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
12-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
12-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
12-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
12-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
12-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
12-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
12-11-2025