ACHENI KUPANGA SAFU YA WENYEVITI KWA KUWAOGOPA MADIWANI NA WABUNGE - NDG. ISSA GAVU
                                                                > Akemea utoaji na upokeaji wa rushwa
"...Tukinyamaza kimya bila kusema kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya CCM maana yake tunaungana na wachache wasiokitakia mema chama chetu na kupotosha kwa lengo la kukichafua na serikali tunayoiongoza, lazima tukitendee chama chetu haki, wananchi na Rais wetu Mama yetu Dkt. Samia Suluhu Hassan"
"Naamini sote tunajua nini maana ya wajibu wa dhima ya kiongozi wa chama na serikali."
"Ili tupate mtaji mzuri wa kushinda chaguzi za mwaka huu 2024 na mwakani 2025 lazima tubadilike, kwakuwa uhai wa CCM ni kuhakikisha kila mmoja wetu ana wajibu wa kuhamaisha CCM , lazima tuongeze idadi ya wanachama kwakuwa huo ndio mtaji wa kura."
"Uchaguzi wetu ni wa kidemokrasia na demokrsia ni kura zinapigwa na wanadamu lazima tuwe na idadi kubwa ya wanachama, wafuasi, na mashabiki na wakati wa kuboresha daftari la wapiga kura watu hao waende kwa wingi."
"Acheni kupanga safu ya wenyeviti na vitongoji, mkipanga safu kwa kuwaogopa madiwani na wabunge hamkitendei haki chama chetu, hatuhitaji ushindi unaotokana na makandokando , hatuna sababu ya kuendekeza rushwa wala kuendekeza wachache wasiotaka maslahi ya watu wengi, lazima jamii iendelee kutuamini kama kweli mategemeo ya kila mtanzania yapo ndani ya CCM."
Ndugu. Issa Haji Gavu
Katibu wa NEC - Oganaizesheni 
Ameyasema hayo kwenye Mkutano wa kueleza muelekeo wa Chama pamoja na mambo mengine kuhusu uelekeo wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka huu wa 2024 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
Mkutano huu umekutanisha, Wajumbe wa Mashina na Wenyeviti wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji na Miitaa, Viongozi wa Chama ngazi zote, Wazee mashuhuri, Viongozi wa Dini pamoja na Watendaji wa serikali ngazi zote na Taasisi zisizo za kiserikali.
ποΈ 13 Aprili, 2024
πMpanda - Mkoani Katavi
                                                                            
                                                                            
                                                                            
                                                                    
                            
                                                
                                                    DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE 
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ 
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA  NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    TAARIFA KWA UMMA 
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    πππ  π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
                                                    04-11-2025 
                                                
                                                
                                                
                                            
                                                
                                                    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
                                                    04-11-2025