ANAYETAFUTA MADARAKA KWA MAFARAKANO HAFAI NDANI YA CCM - BALOZI DKT. NCHIMBI
"Mtu yeyote anayetafuta madaraka kwa mafarakano, kwa misingi ya ukabila, kwa misingi ya dini hawafai kuwa kiongozi wa serikali wala katika chama chetu cha mapinduzi, kila mtanzania anatakiwa kukumbuka kuwa viongozi sahihi wataisimamia serikali sahii"
"Chama kibovu kitazaa serikali mbovu, chama kisicho makini kitazaa serikali isiyo makini, chama imara kinaanza kujengwa katika mashina, tutambue kwamba hiyo ndio ngazi ya kwanza ya umuhimu wa pekee katika chama chetu na wao watambue wao ndio wa kwanza kuusimamia wajibu wa wananchama"
"Hii ndicho chama pekee kinachoongelea majukumu ya chama kwa wanachama wake na huwezi kuyatenganisha mafanikio ya serikali na CCM kwakuwa CCM madhubuti ndio yenye kuleta maendeleo kwa taifa hili."
Sambamba na hayo Katibu Mkuu amekumbusha nafasi ya mwanachama wa CCM, "Tunawakumbusha viongozi wetu kuwa CCM ni mali ya wanachama si mali ya mtu binafsi...maana unakuta kuna kiongozi mwingine haoni tabu kumwambia mwanachama wa kawaida kuwa mimi ndio mwenyekiti wa tawi nimefika hapa na hunifanyi lolote na nenda popote...ndani ya CCM hilo halikubaliki"
"Hakuna atakayeweza kuwa kiongozi wa CCM bila kuwa mwanachama, nafasi pekee ambayo mtu anaapishwa kwenye CCM ni Uanachama, hakina sehemu nyingine zaidi ya hapo ndio maana hamjawahi kusikia hata mwenyekiti wa CCM Taifa akiapishwa ndani ya Chama"
Hayo yamesmwa na Balozi Dkt. Nchimbi.
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi amewataka wana CCM kuwa na utaratibu wa kujikumbusha majukumu ya unachama wa kwa kusoma katiba ya CCM.
" Ibara ya 15 kifungu cha kwanza kinaeleza wajibu wa kila mwanachama, tuwe na utaratibu wa kujikumbusha kwa kusoma katiba ya chama chetu cha mapinduzi ."
WAJIBU MKUBWA WA CCM NI KUJENGA UMOJA Kauli ya Katibu Mkuu wa CCM.
"Hatutajenga CCM ikawa imara kama hatutakuwa na umoja miongoni mwetu, CCM ikikosa umoja itasambaratika na Nchi itasambaratika , Baba wa Taifa alisema na napenda kurudia hili ' Mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kuwa bila CCM madhubutu Nchi hii itayumba ' maneno haya yanaishi hadi leo.
"Wakati mwingine linaweza likatokea jambo dogo likatutawanisha, tujiepushe na mambo ya kututenganisha tusiruhusu kabisa mafarakano kati yetu"
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
🗓️16 Aprili, 2024
📍Mbozi - Songwe
🔰𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄𝐍𝐈 𝐒𝐀𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐍𝐂𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐉𝐀𝐑𝐎!
01-06-2026
𝐒𝐇𝐔𝐋𝐄 𝐘𝐀 𝐌𝐒𝐈𝐍𝐆𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐒𝐀𝐃𝐀𝐋𝐀 𝐘𝐀𝐎𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐊𝐄𝐑𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐄𝐌𝐁𝐄𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐎𝐌𝐄𝐓𝐀 𝟏𝟐 𝐊𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐅𝐔𝐍𝐙𝐈
01-06-2026
𝐌𝐖𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐂𝐂𝐌 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐀𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐖𝐈𝐋𝐀𝐘𝐀𝐍𝐈 𝐇𝐀𝐈, 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐉𝐀𝐑𝐎
01-06-2026
𝐌𝐖𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐂𝐂𝐌 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐀𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐖𝐈𝐋𝐀𝐘𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐀𝐈 𝐌𝐊𝐎𝐀 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐉𝐀𝐑𝐎
01-06-2026
𝐍𝐈 𝐌𝐔𝐃𝐀 𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐇𝐀𝐈-𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐉𝐀𝐑𝐎 𝐒𝐀𝐒𝐀
01-06-2026
𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐌𝐏𝐀 𝐁𝐀𝐉𝐀𝐉𝐈 𝐌𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐒𝐈𝐇𝐀 𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐔𝐋𝐄𝐌𝐀𝐕𝐔 𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐆𝐔𝐔
01-06-2026
MAWENZI YAVUNJA REKODI: MITUNGI 3,313 YA OKSIJENI YAZALISHWA KWA MIEZI 6, ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 126 ZAOKOLEWA!
01-06-2026
MAFURIKO YA WANANCHI WA SIHA KWENYE MKUTANO MKUBWA WA HADHARA
01-06-2026
MAPOKEZI YA KATIBU MWENEZI WA CCM NDUGU KENANI L KIHONGOSI MKOANI KILIMANJARO
01-06-2026
🔰 𝐊𝐈𝐇𝐎𝐍𝐆𝐎𝐒𝐈 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐎 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐉𝐀𝐑𝐎
01-06-2026
CCM INAWATAKIA HERI YA SIKUKUU YA EID AL ADHA
01-06-2026
🔰VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VYAIMARISHA MSHIKAMANO, DKT. DIMWA AHITIMISHA MAFUNZO MAALUM
01-06-2026
KATIBU WA NEC, ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO CCM TAIFA NDUGU KENANI KIHONGOSI AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ISIMANI EMMANUELA KAGANDA MTATIFIKOLO
01-06-2026
MUENDELEZO WA MAFUNZO YA VIONGOZI KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE – KIBAHA
01-06-2026
SIKU YA KWANZA YA MAFUNZO KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE LEADERSHIP SCHOOL.
01-06-2026
UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VYAMA SITA RAFIKI VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA
01-06-2026
MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CPC, KOMREDI LIU HAIXING IKULU DAR ES SALAAM
01-06-2026
KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM
01-06-2026
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
01-06-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
01-06-2026