CHADEMA MLIO JIANDIKISHA MUDA UKIFIKA CHAGUENI CCM
KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Amos Makalla ,amesema kwa kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hakitoshiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wanachama wa chama hicho waliojiandikisha wakipigie kura CCM.
Amesema wanachama hao wana uhuru wa kushiriki uchaguzi kwa sababu ni haki yao na walishajiandikisha, hivyo waelekeze kura zao CCM kwakuwa walikuwa tayari kushiriki uchaguzi huo.
Makalla ameeleza hayo leo Aprili 12,2025, wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, katika mkutano wa hadhara ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku 10 katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Makalla amesema kuwa kama ilivyoelezwa kuwa leo ilikuwa mwisho wa vyama vya siasa kusaini makubaliano ya kanuni za uchaguzi na vyama vyote vya siasa vimesaini, hivyo vitashiriki uchaguzi huo.
Makalla amesema kwa bahati mbaya imethibitika kuwa CHADEMA hawakuweza kusaini makubaliano hayo, hivyo ni wazi kuwa hawatoshiriki uchaguzi huo.
Amesema kwakuwa wanachama wao walikuwa tayari kushiriki na walijiandikisha ,hivyo wapigie kura CCM .
“Imethibitika tutakuwa na vyama vingine ,lakini hao waliokuwa juzi hapa hawayokuwapo tena na mimi nitoe rai kwa wanachama wa chama hicho kwa sababu hakitashiriki uchaguzi.
“Basi wana uhuru wa kupiga kura na kwa sababu walijiandikisha, niwaombe kura zao zote wazielekeze CCM pale zitakapofika kampeni tukiruhusiwa tutaendelea kuziomba hizo kura wazielekeze kwenye chama chetu,” amesema.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
12-04-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
12-04-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
12-04-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
12-04-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
12-04-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
12-04-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
12-04-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
12-04-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
12-04-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
12-04-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
12-04-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
12-04-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
12-04-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
12-04-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
12-04-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
12-04-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
12-04-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
12-04-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
12-04-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
12-04-2026