RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA BALOZI WA UJERUMANI NCHINI TANZANIA IKULU ZANZIBAR.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya uwekezaji ni muhimu katika ustawi wa uchumi wa Zanzibar.
Dk. Mwinyi aliyasema hayo, Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Regine Hess aliefika kwa lengo la kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa utumishi hapa Tanzania. Alisema, Zanzibar bado ina fursa pana ya kuendelea kunufaika na uwekezaji kutoka Ujerumani kutokana na ushirikiano mwema ulipo baina yao.“Bado tuna fursa kubwa ya kuendelea kushirikiana na Ujerumani katika kukuza uwekezaji na kuongeza watalii wengi, Zanzibar. Tunashajihisha sana suala la uwekezaji sababu ndio kiungo kikubwa kwa uchumi wa Zanzibar” Alifafanua Dk. Mwinyi.Rais Dk. Mwinyi alieleza, Ujerumani imetoa mchango mkubwa kwa kuiinga mkono Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia sekta ya maji safi na salama ambayo aliieleza kuwa ni sekta muhimu kwa ustawi wa watu wa Zanzibar.
Pia Dk. Mwinyi aliishikuru Serikali ya Ujerumani kwa ushirikiano wanaendelea kuutoa kwa SMZ kupitia Sekta ya Afya na Michezo pamoja na kushajihisha watalii wengi raia wa Ujerumani wanaoingia Tanzania.Akizungumza kwenye hafla hiyo, Balozi Hess alimpongeza Rais Dk. Mwinyi kwa weledi wake wa kuridhia uongozi wake wa Serikali ya Umoja wa kitaifa pamoja na hatua alizozichukua za kuunda kamati ya maridhiano kitaifa kati ya Chama tawala CCM na cha upinzani ACT Wazalendo, akimsifu kwa jitihada zake za kuendelea kudumisha amani na utulivu wa kisiasa, Zanzibar.
Wakati huo huo, Balozi Hess alimtambulisha kwa Rais wa Zanzibar, Balozi wa heshima Dk. Jenny Bouraima atakaeiwakilisha Ujerumani na kufanya kazi zake hapa Zanzibar.Akizungumza mara bara baada ya utambulisho huo, Dk. Jenny ameishukuru Serikali ya Mapinduzi ya Zaznzibar na kuahidi kushirikiana nayo bega kwa bega hasa kwenye suala zima la kuitangaza zaidi Zanzibar kupitia sekta ya utalii pamoja na kuiunga mkono sera ya Uchumi wa Buluu kwa kuwashajihisha zaidi Wajerumani kuja Zanzibar kuwekeza kupitia rasilimali bahari.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
07-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
07-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
07-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
07-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
07-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
07-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
07-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
07-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
07-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
07-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
07-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
07-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
07-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
07-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
07-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
07-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
07-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
07-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
07-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
07-12-2025