WANANCHI WA MKOA WA KUSINI UNGUJA, WAMESHAURI KUTHAMINI NA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI ZA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI NA SHIRIKISHI YA KILA MWANANCHI KUJIAJIRI MWENYEWE KUPITIA FURSA ZA UJASIRIAMALI
Ushauri huo umetolewa na Kiongozi Mkuu wa Matembezi ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar Machano Ali Machano,wakati akizungumza na wajasiriamali wa matunda njiani wakati wa matembezi kutoka Kijiji cha Mtule hadi Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
Amesema fursa ya kila mwananchi kujiari na kufanya biashara yoyote iliyokuwa halali bila kusumbuliwa na kuwekewa vikwazo ni sehemu ya mafanikio iliyofikiwa katika kipindi cha miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Machano,alifafanua kuwa pamoja na mambo mengine Matembezi hayo ni jukwaa la Vijana wa Chama Cha Mapinduzi kushiriki na kuendeleza mambo mema yaliyotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa jamii.
“Kupitia matembezi haya tunawaomba wananchi waliojiajiri katika ujasiriamali mbalimbali waendelee kufanya kazi zao kwa bidii ili wapate kujikwamua kiuchumi na kwamba UVCCM itaunga mkono juhudi hizo”, alisema Machano.
Katika maelezo yake Machano,alifafanua kuwa ndani ya kipindi cha miaka 60 ya Mapinduzi Serikali imetekeleza kwa ufanisi mkubwa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2023 kwa kujenga miundombinu ya barabara,maji safi na salama,afya,elimu,kilimo na ufugaji ndani ya Wilaya hiyo.
Alisema dhamira ya kufanya Mapinduzi ilikuwa ni kuwakomboa wananchi kutoka katika utawala wa kigeni na wajitawale wenyewe katika nyaja za kiuchumi,kisiasa na kijamii.
Aidha,katika matembezi hayo yameambatana na kazi za ujenzi wa Taifa kwa kupanda miti zaidi ya 2000 katika eneo la Chuo cha Mafunzo na Uongozi cha CCM Tunguu pamoja na kuzindua mradi wa ufugaji wa kuku wa Chuo hicho.
Matembezi hayo yanajumuisha zaidi ya vijana 1000 kutoka Mikoa yote ya Tanzania baada ya kumalizika katika mikoa yote ya Pemba sasa yanaendelea katika Mikoa ya Unguja, ‘’Kauli mbiu ikiwa ni Miaka 60 ya Mapinduzi,Miundombinu ni msingi wa maendeleo’’.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
05-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
05-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
05-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
05-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
05-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
05-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
05-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
05-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
05-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
05-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
05-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
05-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
05-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
05-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
05-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
05-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
05-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
05-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
05-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
05-11-2025