MAKAMU WA PILI WA RAIS ALHAJJ HEMED SULEIMAN ABDULLA AMEWATAKA WANANCHI KUZINGATIA MAELEKEZO YANAYOTOLEWA NA WATAALAMU WA HALI YA HEWA HASA KATIKA KIPINDI HICHI CHA MVUA ZA VULI ZINAZOENDELEA KUNYESHA NCHINI.
Alhajj Hemed ameyasema hayo alipokuwa akiwasalimia waumini wa Masjid LILLAH kianga Wilaya ya Magharibi "A" mara baada ya kumaliza Ibada ya sala ya Ijumaa.
Amesema imekuwa ni utamaduni wa wananchi wa Zanzibar kujisahau na kufanya shuhuli za ujenzi wakati wa jua kali sehemu ambazo sio sahihi kwa makaazi ya watu na kupelekea kuhangaika na familia wakati wa mvua kali zinaponyesha jambo ambalo huleta usumbufu mkubwa kwa baadhi ya wananchi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema ili kujinga na maafa hasa katika kipindi hiki cha Mvua zinazoendelea kunyesha ni vyema wananchi kuacha kujenga nyumba za makaazi sehemu ambazo sio salama pamoja na wale wanaoziba njia za maji jambo ambalo hupelekea athari kubwa kwa wananchi wakati wa mvua kubwa.
Alhajj Hemed ametoa pole kwa wale wote ambao wamepatwa na maafa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha mwishoni mwa wiki iliyopita na kuwataka wananchi kuweza kusaidiana pale mmoja wao anapopatwa na tatizo la aina yoyote ikiwemo la maafa.
Aidha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema Serikali ya Awamu ya Nane (8) inayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. Hussein Ali Mwinyi itahakikisha inatoa ushirikiano na msaada wa hali ya juu kwa mwananchi yeyote atakaepatwa na tatizo la aina yoyote ikiwemo la maafa.
Sambamba na hayo Alhajj Hemed amewasisistiza waumini wa Msikiti huo na wananchi kwa ujumla kuzidisha kudumisha amani, upendo na ushirikiano katika jamii ili nchi iweze kupata maendeleo.
Hata hivyo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amewaomba waumini kuendelea kuunga mkono juhudi zinazochukuliwa na Serekali za kuwaletea maendeleo wananchi wake kwani Serikali inajenga miradi mingi ya kimkakati ambayo itakuwa na tija kwa vizazi vya sasa na baadae.
Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim Suleiman Hamad Suleiman amewataka waumini kushirikiana pamoja na kupeana elimu juu ya maisha ya ahera jambo ambalo wengi wao mamejisahau kuwa maisha ya dunia ni mapito tu.
Amesema ni wajibu wa waumini kumlingania mwenzake kwa kutumia lugha nzuri ili kuondosha mifarakano inayoweza kutokea pamoja na kuwataka waumini kutafuta chumo la halali katika kipato chao cha kila siku ili kujiwekea maisha yaliyobora mbele ya allah.
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
06-02-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
06-02-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
06-02-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
06-02-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
06-02-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
06-02-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
06-02-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
06-02-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
06-02-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
06-02-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
06-02-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
06-02-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
06-02-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
06-02-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
06-02-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
06-02-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
06-02-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
06-02-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
06-02-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
06-02-2026