MIRADI YA MAENDELEO NI MATOKEO YA USIMAMIZI MZURI WA RASILIMALI
•Amtaja Dr Samia Suluhu ni mzalendo na anaipenda Tanzania
GAIRO: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chma Cha Mapinduzi (CCM)makalla amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa Rais muadilifu kwani amekuwa na uwezo mkubwa wa kupeleka fedha za maendeleo katika maeneo mbalimbali.
Pia amesema fedha na rasilimali zote zinazokusanywa zimapelekwa katika miradi mbalimbali ya maendeleo na kueleza miradi mikubwa ya maji, madaraja ambayo ilishindikana kwa miaka mingi, barabara, hospitali na mengineyo.
Makalla amesema hayo leo Mei 16, 2025 wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Gairo mkoani Motogogoro wakati akihitimisha ziara yake iliyoanza mapema mwezi huu mkoani humo.
“Kwahiyo katika Tanzania kiongozi namba moja anayewapenda Wanzania na aliyeapa kuilinda Tanzania na rasilimali zake zote ni Rais Samia Suluhu Hassan na ndo maana anaingia katika rekodi ya marais waliopeleka fedha za maendeleo kuliko awamu yoyote,” amesema Makalla.
Makalla ameongeza anayesema Tanzania haina maendeleo anahitaji kupimwa akilibkwani maendeleo yaliyofanyika haya hitaji tochi kuyatazama na frdha kwa ajili ya kufanya maendeleo hayo zinatolewa na Rais Samia ambaye ameonesha kuwa rais wa kuahidi na kutenda.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
12-04-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
12-04-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
12-04-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
12-04-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
12-04-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
12-04-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
12-04-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
12-04-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
12-04-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
12-04-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
12-04-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
12-04-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
12-04-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
12-04-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
12-04-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
12-04-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
12-04-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
12-04-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
12-04-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
12-04-2026