Wazazi na walezi wametakiwa kuwasimamia watoto wao katika suala zima la kufanya Ibada hasa katika mwezi wa Ramadhan ambao ni mwezi wenye fadhila nyingi ambao humtakasa mja kutokana na maovu na machafu.
Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid SHEYKHAT NAIMA uliopo TOMONDO MADUKA saba(7) mara baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa.
Amesema kuwa kuwasimamia vyema vijana katika kufanya Ibada na kuwapa elimu juu ya kuijua dini yao pamoja na nchi yao kutapelekea Taifa kupata viongozi bora na wenye kufanya kazi kwa maslahi ya nchi na Taifa kwa ujumla.
Alhajj Hemed amesisitiza kuwa zimebaki siku chache kuingia kwa mwezi mtukufu wa ramadhani hivyo ni vyema waislamu kuongeza bidii katika kuwahimiza vinjana wao kufanya ibada ikiwemo visimamo vya usiku, kuhudhuria madrasa na kupendana baina yao ambako kutapelekea kupata wanazuoni walio bora na wenye kuijua dini yao.
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar amesema katika mwezi wa Ramadhani waumini wanapaswa kuzidisha upendo na mshikamano baina yao sambamba na kutoa sadaka kwa kuwasaidia watu wasio na uwezo ili kupata fadhila za mwezi mtukufu wa ramadhani.
Sambamba na hayo Alhajj Hemed amewataka wananchi wa Zanzibar kuendelea kudumisha mila, silka na desturi zilizopo nchini hasa katika kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhania kwa kuacha kuvaa nguo zisizofaa ambazo zitawapelekea waumini wa dini ya kiisalumu kutokufikia lego la kufunga.
Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Ustadh. KASSIM HAMAD amewaasa waumini wa Dini ya Kiislam kuacha tabia ya kuingila Mamlaka ya Taasisi za Kiserikali hasa Taasisi iliyopewa dhamana ya kutangaza kuandama kwa mwezi hususan Mwezi mtukuru wa ramadhan kwani kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria za nchi na za dini ya Kiislamu.
Amesema kuwa kumekuwa na tabia kwa baadhi ya waislamu kufarakana na kutosaidiana kutokana na tofauti zao za kimadhehebi katika kufuata muandamo wa mwezi hivyo amewasisitiza waislamu kujiepusha kabisa na matendo hayo kwani kufanya hivyo ni kwenda kinyume na maamrisho ya Allah (S.W) na kutapelekea kutokufikia lengo la kufunga.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
06-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
06-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
06-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
06-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
06-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
06-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
06-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
06-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
06-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
06-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
06-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
06-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
06-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
06-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
06-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
06-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
06-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
06-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
06-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
06-11-2025