CCM ISIHUSISHWE NA VURUGU ZA IGUNGA, CHADEMA IJITAFAKARI
KILIMANJARO: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kuwa hakihusiki na tukio la kuvamiwa kwa mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) uliokuwa ukifanyika Igunga hapo jana, kwani hawana sababu zozote za kushiriki tukio hilo.
Makalla ameeleza hayo leo Juni 10, 2025 wakati akizungumza na wannachi katika eneo la Himo Wilaya ya Mosho Vijinini mkoani Moshi akiendelea na ziara yake katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini.
Makalla ameeleza hayo akijibu kilichoandikwa na Makama Mwenyekiti wa Chadema, John Heche kupitia katika mtandao wa kijamii wa X kuwa mkutano wao wamefanyiwa vurugu na vijana wa CCM, hivyo Makalla amesema wasihusishwe na tukio hilo kwani ni la kitoto.
“Leo walikuwa Igunga mkutano nafikiri wamefanyiwa vuruga nafizkiri na nyie mmeona kwenye vyombo vya habari lakini bila busara Makamu wao Mwenyekiti John Heche ameandika kwamba mkutano wetu vurugu hizi tumefanyiwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi,” amesema Makalla.
Pia Makalla amesema Chadema sio mshindani tena wa CCM kwa sababu wao hawashiriki uchaguzi, hivyo CCM haiwezi kuwa na maslahi yoyote na mkutano huo.
Makalla amewataka Chadema wafanye tafakuri ndani ya chama chao wasikimbilie kusema ni CCM badala yake wajitafakari.
Pia amesema CCM wanayokazi wanayoiendea ambayo ni kushiriki uchaguzi na kushinda kwa kishindo, hivyo wajitafakari wamalize migogoro yao binafsi ya ndani ya chama na kuacha kuwahusisha na tukio hilo.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
10-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
10-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
10-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
10-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
10-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
10-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
10-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
10-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
10-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
10-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
10-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
10-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
10-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
10-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
10-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
10-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
10-03-2026