HATUWEZI KUIKOSOA SERIKALI KAMA SISI WENYEWE HATUWEZI KUTIMIZA WAJIBU WETU - KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndugu. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewataka Viongozi mbalimbali wa CCM kwa ngazi zote kutimiza wajibu wao ipasavyo.
Balozi Dkt. Nchimbi amesema Chama Cha Mapinduzi kina jumla ya mashina 246,000 na kila shina lina viongozi 5 ambapo inapelekea kuwa na zaidi ya Viongozi Milioni 1 katika ngazi hiyo na kutokana na uwepo wa Viongozi wao, Hivyo kwa kuambatana na Viongozi wengine wa sekretarieti ya CCM Taifa wamefika ili kuona ufanisi wa kazi kwa Viongozi kuanzia Mashina hadi Mkoa kwakuwa uwepo wa ufanisi mzuri wa kazi zao ndio unaweza kuwafanya kuweza kuikosoa serikali na kutoa ushauri na muongozo kwa maslahi mapana ya Watanzania.
" Hatuwezi kuikosoa serikali tunayoiongoza kama sisi wenyewe hatuwezi kutimiza wajibu wetu "
" Ndio maana tumeanza kujikagua wenyewe kisha tuwe na ujasiri wa kuikosoa serikali, sasa nawapongeza shina namba tana la paraides pale majengo, mnaifanya kazi yenu vizuri sana. "
Alisema Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
Ameyasema hayo kwenye Mkutano wa kueleza muelekeo wa Chama pamoja na mambo mengine kuhusu uelekeo wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka huu wa 2024 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Mkutano huu umekutanisha, Wajumbe wa Mashina na Wenyeviti wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji na Miitaa, Viongozi wa Chama ngazi zote, Wazee mashuhuri, Viongozi wa Dini pamoja na Watendaji wa serikali ngazi zote na Taasisi zisizo za kiserikali.
ποΈ 13 Aprili, 2024
πMpanda - Katavi
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025