KIMEI AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MIRADI MINGI YA MAENDELEO VUNJO
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei amesema katika kipindi cha miaka takribani minne wamepokea fedha takribani shilingi bilioni 41 kwa ajili ya miradi ya maendeleo hivyo kwa niaba ya wananchi wenzake wanamshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa upendo mkubwa kwao.
Dkt Kimei amesema Jimbo lake limepata zahanati mpya 12, vituo vya afya vipya viwili - Kahe na Marangu Hedikota, upanuzi wa kituo kimoja cha Kirua Vunjo, kupandishwa hadhi kwa Himo OPD kuwa kituo cha afya kamili, miradi ya maji safi ya takribani shilingi bilioni 10.2, shule mpya za msingi na sekondari tano pamoja miradi ya umeme. Utekelezaji huu umefanya siasa za Vunjo kuwa tulivu na kukiimarisha sana Chama Cha Mapinduzi.
Ametumia jukwaa hilo pia kuomba serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii kujenga mazingira ya ujirani mwema na vijiji 19 vinavyozunguka hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro ili kuwapa wananchi amani na utulivu katika makazi yao.
Wananchi wa Vunjo wamemzawadia Rais Samia mbuzi dume 'Ndafu' kwa utekelezaji mzuri wa ilani pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emanuel John Nchimbi kwa uimarishaji mzuri wa Chama pamoja na sekretarieti yake.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
12-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
12-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
12-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
12-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
12-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
12-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
12-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
12-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
12-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
12-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
12-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
12-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
12-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
12-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
12-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
12-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
12-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
12-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
12-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
12-03-2026