WASIRA AKOLEZA MOTO WAKAMPENI OKTOBA TUNATIKI.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira , amewaonya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Watanzania kwa ujumla, wasidanganywe na kauli mbiu zinazotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikiwamo kauli mbiu za No Reforms, No Election, Movement of Change (M4C) na No Hate No Fear.
Wasira amesema kuwa CHADEMA imekuwa ikitumia kauli mbiu hizo bila kutekeleza vitendo vya kuunga mkono kauli hizo, na kwamba hii ni tabia yao ya muda mrefu ya kujinufaisha kisiasa kwa maneno badala ya matendo halisi.
Kauli hiyo alitoa leo, Juni 10, 2025, alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, katika ziara yake ya kikazi.
Amesisitiza kuwa CCM itaendelea kuwa chama thabiti chenye misingi imara ya utekelezaji wa sera na ilani zake kwa vitendo, tofauti na vyama vinavyotegemea kauli zenye lengo la kuchochea hisia za wananchi bila hoja madhubuti.
> CHADEMA wamekuwa mabingwa wa kutoa kauli mbiu kila jambo, lakini Watanzania sasa ni waelewa. Wasiwaamini, maana hawana ajenda ya maana zaidi ya maneno, alisema Wasira.
Ziara hiyo inalenga kuimarisha uhai wa chama na kutoa miongozo kwa viongozi wa CCM katika ngazi ya wilaya, kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao.
Pia amewasihi watanzania wote wakiwemo wanachama na wapenzi wa Chama hicho kujiandaa kwenda KUTIKI kwa kumpigia kura mgombea urais wao Dk.Samia Suluhu Hassan pamoja na mgombea mwenza Dk.Emmenuel Nchimbi.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
10-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
10-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
10-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
10-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
10-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
10-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
10-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
10-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
10-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
10-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
10-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
10-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
10-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
10-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
10-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
10-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
10-03-2026