Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


BURIANI DKT SAM NUJOMA 

alternative

Katibu wa NEC Mambo ya Siasa na Uhusiano wa kimataifa CCM (SUKI) Ndg. Rabia Abdalla Hamid asaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa kwanza wa Namibia na mpigania uhuru maarufu, Dk. Sam Nujoma.

Ndg Rabia amesaini Kitabu hicho katika ofisi za ubalozi wa nchi hiyo zilizopo Masaki, jijini Dar es Salaam leo Februari 18, 2025.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine