RAIS SAMIA KUJA NA "PROGRAM" YA KUSIKILIZA MWANANCHI MMOJA MMOJA.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutenga siku moja kila mwezi ili kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za mwananchi mmoja mmoja.
Hatua hii imetangazwa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Ndg. Paul Makonda wakati akizungumza na wanahabari kwenye Ofisi Ndogo za CCM jijini Dar es Salaam.
"Hatua ya Rais inakuja ili kudhihirisha kwa vitendo tamanio lake la kuwataka watendaji wa serikali kutenga muda zaidi kusikiliza wananchi na kutatua kero zao mbalimbali." asema Makonda.
Sambamba na hayo CCM imewaelekeza viongozi wote wa serikali kutatua changamoto za wananchi kwa wakati kwakua kutofanya hivyo ni kuwachonganisha na Serikali yao.
"Maelekezo ya CCM kwa kila aliye na nafasi katika uongozi wa serikali ana wajibu wa kutatua changamoto za wananchi na afahamu kuwa ofisi si yake bali ni ya umma, kutotatua changamoto za wananchi ni kuwafanya wananchi kuichukia serikali yao na kukichukia Chama Cha Mapinduzi kinachoongozwa na mwenyekiti na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan." asema Makonda.
Pia, Makonda ametoa tathmini ya ziara mikoani ambapo hadi kufikia sasa Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo imefika mikoa 23 na kufanya mikutano 247 na kukutana na changamoto zaidi ya 2000.
"CCM tunawashukuru sana waandishi wa habari kwa namna ambavyo mmekuwa bega kwa bega kuhabarisha umma juu ya mambo mengi mema yanayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayotokana na chama Cha Mapinduzi inayoongozwa na Mwenyekiti na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan."
Ndg. Paul Makonda amefanya Mkutano na waandishi wa habari leo Machi 5, 2024 katika ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar es Salaam.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
10-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
10-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
10-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
10-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
10-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
10-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
10-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
10-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
10-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
10-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
10-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
10-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
10-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
10-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
10-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
10-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
10-03-2026