BALOZI NCHIMBI ATOA WITO KWA VYOMBO VYA HABARI KUZINGATIA WELEDI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
Ahimiza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita kutangazwa kwa wananchi
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amevitaka vyombo vya habari vinavyomilikiwa na chama hicho kuzingatia weledi, hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Balozi Nchimbi amesema vyombo hivyo vina wajibu mkubwa wa kutumia weledi huo kutangaza mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Akizungumza Alhamisi, tarehe 5 Juni 2025, wakati wa kikao na baadhi ya wakuu wa idara wa vyombo vya habari vya CCM, wakiongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Uhuru Media Group (UMG), Dennis Msacky, Balozi Nchimbi alisisitiza kuwa weledi wa vyombo hivyo uendelee kuwa mfano wa kuigwa katika tasnia ya habari nchini.
Mazungumzo hayo yalifanyika katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam, ambapo pia aliwapongeza kwa namna wanavyoendelea kuwahabarisha wananchi kuhusu masuala yanayohusu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Balozi Nchimbi alisema vyombo hivyo vya habari, ambavyo ni sauti ya chama, vina jukumu la kuutangazia umma utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimkakati chini ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020–2025, sambamba na kuanza kuchambua Ilani mpya ya chama hicho kwa mwaka 2025–2030.
Kwa upande wao, wawakilishi wa vyombo hivyo walieleza namna walivyojipanga kufikisha taarifa kwa jamii, zikiwemo elimu ya uraia kuelekea uchaguzi, namna ya kushiriki, na mchakato wa kuwapata wagombea bora ndani ya CCM, kwa lengo la kuhakikisha chama hicho kinapata ushindi wa kishindo.
#Ends
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
22-01-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
22-01-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
22-01-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
22-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
22-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
22-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
22-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
22-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
22-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
22-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
22-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
22-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
22-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
22-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
22-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
22-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
22-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
22-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
22-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
22-01-2026