BALOZI NCHIMBI ATOA WITO KWA VYOMBO VYA HABARI KUZINGATIA WELEDI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
Ahimiza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita kutangazwa kwa wananchi
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amevitaka vyombo vya habari vinavyomilikiwa na chama hicho kuzingatia weledi, hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Balozi Nchimbi amesema vyombo hivyo vina wajibu mkubwa wa kutumia weledi huo kutangaza mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Akizungumza Alhamisi, tarehe 5 Juni 2025, wakati wa kikao na baadhi ya wakuu wa idara wa vyombo vya habari vya CCM, wakiongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Uhuru Media Group (UMG), Dennis Msacky, Balozi Nchimbi alisisitiza kuwa weledi wa vyombo hivyo uendelee kuwa mfano wa kuigwa katika tasnia ya habari nchini.
Mazungumzo hayo yalifanyika katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam, ambapo pia aliwapongeza kwa namna wanavyoendelea kuwahabarisha wananchi kuhusu masuala yanayohusu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Balozi Nchimbi alisema vyombo hivyo vya habari, ambavyo ni sauti ya chama, vina jukumu la kuutangazia umma utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimkakati chini ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020–2025, sambamba na kuanza kuchambua Ilani mpya ya chama hicho kwa mwaka 2025–2030.
Kwa upande wao, wawakilishi wa vyombo hivyo walieleza namna walivyojipanga kufikisha taarifa kwa jamii, zikiwemo elimu ya uraia kuelekea uchaguzi, namna ya kushiriki, na mchakato wa kuwapata wagombea bora ndani ya CCM, kwa lengo la kuhakikisha chama hicho kinapata ushindi wa kishindo.
#Ends
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025