MZEE SUMAYE: RAIS SAMIA AMEFUNGUA MILANGO YA KIDIPLOMASIA
BABATI: Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee Fredrick Sumaye amesema Rais Samia Suluhu Hassan amefungua milango ya kidiplomasia ambayo imechangia ushirikiano mzuri na mataifa mengine na kuchangia ongezeko la wawekezaji kutoka nje ambao wamewekeza katika sekta mbalimbali.
Sumaye ameeleza hayo leo Juni 4,alipopata nafasi ya kusalimia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mollel Papaa Wilaya ya Babati mkoani Manyara katika ziara ya Katibu wa NEC itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla katika mikoa ya kaskazini.
Pia amesema Rais Samia amedumisha utulivu na amani katika nchi kwa kurudisha amani kwa wafanyabiashara wa ndani ambayo imekuwa ni moja ya kivutio kwa wawekezaji wengine kutoka nje.
Aidha, alisema hapo awali wafanyabiashara walifunga biashara zao na kupoteza matumaini lakini Rais Samia alirudisha utulivu amani na matumaini kwa watanzania na pia watanzania walikuwa wamefungiwa milango katika nchi za nje lakini Rais Samia alifungua milango ga kidiplomasia.
“Rais Samia alifungua milango ga kidiplomasia ya nje leo wageni wamejaa, watalii na wawekezaji wanaimani na Tanzania na wanakuja kwa wingi kuwekeza katika nchi yetu na watanzania tunaombwa tushirikiane nao kama ikiwezekana, mama Samia amefanya kazi kubwa sana kurudisha ushirikiano wa kimataifa,” amesema Sumaye.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
10-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
10-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
10-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
10-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
10-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
10-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
10-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
10-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
10-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
10-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
10-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
10-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
10-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
10-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
10-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
10-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
10-03-2026