Chama Cha Mapinduzi kimeumepongeza Ubalozi wa Uingereza nchini kwa kuitikia wito wa Serikali ya Awamu ya Sita wa kuzitaka ofisi za ubalozi mbalimbali zilizopo Tanzania kuhamia Dodoma.
Pongezi hizo, zimetolewa leo, tarehe 21/2/2024, jijini Dodoma na Katibu wa NEC wa Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid, wakati akizungumza na ujumbe wa Maafisa wa Ubalozi wa Uingereza, katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Ujumbe wa Maafisa wa Ubalozi wa Uingereza, ukiongozwa na Mkuu wa Ofisi ya Dodoma, Bi. Godfrida Magubo, mapema leo, umetembelea Ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma kwa ajili ya kujitambulisha na kuitambulisha Ofisi ya Ubalozi huo, iliyopo Dodoma, ambayo ilifunguliwa Januari 2024.
‘’Chama Cha Mapinduzi kinawashukuru na kuwapongeza sana kwa kuunga mkono juhudi za kuhamia Makao Makuu ya Nchi hapa Dodoma,’’ Rabia alisema akiwapongeza.
Aidha, ameutaka Ubalozi wa Uingereza wawe mabalozi wa kuhamasisha ofisi zingine za ubalozi mbalimbali nchini kuhamia Dodoma.
Ndg. Rabia ameongeza kusema, ‘’ Chama na Serikali tumehamia Dodoma moja kwa moja, na hatukusudii kurudi nyuma, hivyo natoa wito kwa ofisi zingine za ubalozi wa nchi mbalimbali kuhamia Dodoma kama ninyi mlivyofanya’’.
Katibu wa NEC Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na ujumbe wa Maafisa wa Ubalozi wa Uingereza wamezungumza na kujadiliana mambo mbalimbali ya kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Uingereza.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
14-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
14-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
14-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
14-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
14-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
14-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
14-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
14-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
14-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
14-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
14-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
14-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
14-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
14-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
14-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
14-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
14-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
14-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
14-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
14-03-2026