MAKALLA: THE ROYAL TOUR IMEKUZA UTALII KASKAZINI
BABATI: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi an Mafunzo wa chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema Rais Samia Suluhu Hassan amefanya jambo kubwa katika mikoa ya Kaskazini kwa kukuza utalii kupitia filamu ya The Royal tour.
Amesema kupitia filamu hiyo sekta ya utalii imeimarika kwani imesaidia kuutangaza utalii uliopo nchini katika mataifa mbalimbali ambayo imechangia kuongeza mapato katika sekta hiyo na wananchi wa Mkoa wa Manyara ni moja ya wanufaika wake.
Amezungumza hayo leo Juni 4,2025 wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Mollel Papaa katika Wilaya ya Babati Mkoani Manyara akianza ziara yake ya siku tisa katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.
Makalla alisema watalii wanapoingia kwa wingi nchini mapato yanaongezeka kutokana na kuongezeka kwa mzunguko wa fedha na yote hayo ni kutokana na ubunifu wa Rais Samia wa kufikiria kuitangaza Tanzania kupitia Filamu hiyo ambayo wananufaika kwa sasa.
“Kikubwa kilichofanyika katika mikoa ya kaskazini ni kukuza utalii kupitia ‘The Royal tour’ imefanya kazi kubwa katika mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro kwani mapato ya utalii yameongezeka na nyie Manyara mnafaidiaka nao kwani mpo karibu na Karatu, Tarangire na Mbuga ya Manyara,” alisema Makalla
Makalla alisema Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, ameeleza kwa kirefu juu ya serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia akihusisha historia ya Tanzania tangu kuasisiwa kwake na inapoelekea ambayo maingi wake unawekwa na Rais Samia
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
03-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
03-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
03-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
03-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
03-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
03-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
03-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
03-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
03-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
03-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
03-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
03-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
03-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
03-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
03-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
03-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
03-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
03-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
03-03-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
03-03-2026