MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR NDUGU HEMED SULEIMAN AFUNGUA KAMPENI JIMBO LA MTAMBWE PEMBA
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu, Hemed Suleiman Abdulla ameawaataka wananchi wa jimbo la Mtambwe kumchagua mgombea wa Chama Cha mapinduzi katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika 28 oktoba 2023 ili aweze kuwatumikia na kuwaletea maendeleo jimboni humo..
Akimnadi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Hamad Khamis Hamad wakati wa ufungaji wa kampeni za Chama hicho katika Jimbo la Mtambwe Mhe. Hemed amesema ongezeko la idadi ya wanachama wanaojiunga na CCM kutokea vyama pinzani ni dhahiri kuwa sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM vimekubalika ndani ya Jimbo la Mtambwe hivyo wananchi wanayo kila sababu ya kumchagua Mgombea wa Chama cha Mapinduzi ili akashirikiane na viongozi wenzake katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Mtambwe .
Mhe. Hemed amefahamisha kuwa maendeleo yanayoletwa na Serikali kupitia CCM yanawanufaisha wanachi wote ambapo amewataka wananchi kuondoa tofauti zao za kisiasa na kuungana pamoja katika kumchagua mgombea wa CCM akaendeleze mema na mazuri yanayofanywa na chama cha mapinduzi.
Amewataka wanachama wapya na wale wa zamani kushirikiana katika kumuombea kura mgombea wa CCM na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi mdogo wa uwakilishi unaotarajiwa kufanyika tarehe 28 mwezi huu ili aweze kuitekeleza vyema ilani ya CCM sambamba na kuwaletea maendeleo wananchi wake.
Nae mgombea wa Uwakilishi kupitia tiketi ya CCM Jimbo la Mtambwe Ndg. Hamad Khamis Hamad amewaomba wanaCCM na wananchi wa jimbo hilo kumpa ridhaa aweze kuwa mwakilishi wao katika baraza la wawakilishi ili aweze kuwatatulia changamoto zilizobaki Jimboni humo.
Amesema kuwa endapo atachaguliwa kuwa mwakilishi wa Jimbo la Mtambwe atahakikiasha anaendelea kuitekeleza vyema ilani ya CCM kwa vitendo na atashirikiana na viongozi na wananchi kuhakikisha analeta usawa katika upatikanaji wa maendeleo.
Kwa upande wake Katibu wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba Salum Suleiman Tate amesema Chama cha Mapinduzi kimefanya kampeni za kistaarabu na kisayansi kwa kutangaza sera Imara zinazotekelezeka na wamejipanga kushinda kwa kishindo katika Jimbo la Mtambwe.
Tate amesema CCCM itashinda bila ya kutumia nguvu kwa vile wapinzani wanajiunga na CCM makundi kwa makundi baada ya kujieone newma zinazoletwa na Rais Dkt Mwinyi.
Mapema Katika ufungaji wa kampeni hizo wananchi kadhaa wa jimbo hilo kutoka vyama pinzani wameamua kujiunga na CCM, hivyo kizungumza kwa niaba ya wanachama wenzake waliojiunga na Chama hicho Ndugu,Salum Abdulla Salum maarufu Daiyadaiya kutoka chama cha ADC amesema ameamua kujiunga na CCM kutokana na kuwa na sera imara, haki na usawa kwa wanachama wote hivyo atahakikisha anashirikiana na uongozi uliopo kwenda kuongeza nguvu katika kuwaletea wananchi maendeleo.
Amewanasihi wale wote ambao hawajafanya maamuzi ya kuhama upinzani muda bado wanao wa kuzinduka kutoka katika giza totoro na kujiunga na CCM chama ambacho neema zake zimeenea Zanzibar nzima chini ya Rais Makini Dkt. Hussein Ali Mwinyi.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
27-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
27-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
27-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
27-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
27-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
27-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
27-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
27-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
27-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
27-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
27-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
27-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
27-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
27-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
27-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
27-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
27-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
27-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
27-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
27-10-2025