MBEYA IMEBEBA HISTORIA MUHIMU YA UKOMBOZI AFRIKA - WASIRA
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaeleza vijana mkoani Mbeya kuwa mkoa huo una historia kubwa katika ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, hivyo ni jukumu lao kuilinda.
Wasira amesema hayo leo alipokuwa akipokewa rasmi mkoani humo katika Ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya.
"Nataka niwaambie hapa mkoani Mbeya, Chama chetu ni Chama cha historia, sisi ni muungano wa vyama vilivyoikomboa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sisi sio chama cha kawaida.
"Vijana ambao hawaelewi ni kwamba sisi ndio tuliosaidia kuikomboa Afrika. Hapa Mbeya ndipo alipopitia Nelson Mandela, hapa Mbeya ndipo alipopitia Sam Nujoma, na wote walipopita hapa kulikuwa na mzee wetu mwanzilishi wa Chama cha TANU alikuwa anaitwa Mwakangale na yeye ndiye aliewasindikiza kutoka hapa mmoja baada ya mwengine kwenda Dar es Salaam kwa Mwalimu Julius Nyerere..." amesema.
Amesema viongozi hao waliokuwa katika harakati za ukombozi wa nchi zao hatimaye walifanikiwa kuwaondoa wakoloni na kuwawezesha Waafrika kuwa huru.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
25-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
25-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
25-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
25-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
25-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
25-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
25-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
25-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
25-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
25-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
25-10-2025