RAIS DK. HUSSEIN ALI MWINYI AMESEMA AMEDHAMIRIA KUENDELEZA MAGEUZI MAKUBWA YA HUDUMA ZA JAMII NCHINI KUPITIA SEKTA MBALIMBALI.
Dk. Mwinyi aliyasema hayo kwenye ziara ya kuutembelea mkoa wa Mjini Mgaharibi, kukagua na kuweka mawe ya msingi miradi mbalimbali ya maendeleo ukiwemo ujenzi wa nyumba za maendeleo kwenye mji mpya wa Dk. Hussein Mwinyi, Mombasa viwanja vya magereza, unaosimamiwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), ujenzi wa nyumba za makaazi Kwa mchina unazosimamiwa na Shirika la nyumba Zanzibar, Skuli ya Sekondari Mtopepo na Skuli ya Sekondari Mwembeladu, Wilaya ya Mjini.
Alisema, Serikali ya awamu nane imedhamiria kuendeleza ujenga wa skuli za maghorofa kutoka ngazi ya Chekechea, msingi hadi Sekodari, kuboresha mazingira bora ya walimu ikiwemo maslahi yao, kutoa ajira mpya za walimu, kuboresha mitaala ya elimu, kuongeza ufaulu mzuri pamoja na kuondosha zero kwa wanafunzi wa kidato cha nne na sita. Dk. Mwinyi pia alieleza hatua iliyofikiwa na Serikali sasa imepitiliza ahadi ya ilani ya CCM ya 2020 - 2025 ilipoahidi kujenda mabanda 1500 ya skuli za msingi na sekondani wakati hivi sasa kumejengwa Skuli za ghorofa 64 zenye miundombinu ya kisasa ikiwemo vyoo zaidi ya 50 kwa kila skuli, maktaba tatu tatu, maabara, vyumba vya kompyuta (ICT), ofisi bora za walimu na wakuu wa skuli, stoo, vyumba vya kusalia pamoja na ofisi za walinzi.
Akizungumzia makaazi ya kisasa, Rais Dk. Mwinyi amesema awamu ya nane ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuongeza nyumba nyingi zaidi, za kisasa na za gharama nafuu ili kukidhi haja na uwezo wa wananchi wake wa matabaka yote, pamoja na kujenga miji ya kisasa yenye hadhi na wakati uliopo kwa kuboresha maisha bora wa wananchi. Alisema, ni wakati sasa wa kuondokana na makazi ya kiholela na kuzingatia makaazi na mipango bora ya miji kwa kuiagiza Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar kupima na kutoa maeneo yaliyopimwa. Hata hivyo, Rais Dk. Mwinyi alisema Serikali pia imepanga kutoa maeneo mengine zaidi ya ujenzi wa nyumba bora za maendeleo ikiwemo maeneo ya Kwamabata, Chumbuni na maeneo
mengine ya Zanzibar pamoja na kuondosha kodi za ongezeko la thamani kwa wananchi ili kuweka usawa wa watu wake na kumudu kumiliki nyumba hizo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye ziara hiyo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Muhamed Mussa, alisema azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kuimarisha Sekta ya elimu nchini ambayo kwasasa imepiga hatua kubwa kuliko matarajio iliyojiwekea awali. Alisema, mafanikio ya elimu Zanzibar yanatokana na juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuimarisha mazingira wezeshi wa mfumo bora wa elimu Zanzibar, ushirikiano baina ya watendaji wa wizara, walimu wazazi, wanafunzi na wadau wa elimu nchini.
Naye, Waziri wa Ardhi na Maendelo, Rahma Kassim Ali, alisifu juhudi za Rais Dk. Mwinyi kwenye miradi ya maendeleo ikiwemo kuboreshwa kwa makazi bora ya nyumba za maenedeleo. Ziara ya Rais Dk. Mwinyi Mkoa wa Mjini Magharibi ni mwendelezo wa ziara zake za kukagua miradi ya maendeleo ikiwa ni shamrashamra za kusherekea mafaniko ya miaka mitatu ya uongozi wa awamu ya nane ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025