MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR NA RAIS WA ZANZIBAR ALHAJ DK.HUSSEIN MWINYI AJUMUIKA NA VIONGOZI WA CCM NA WAFANYAKAZI WA CCM ZANZIBAR KATIKA IFTAR ALIYOWAANDALIA KATIKA UKUMBI WA AFISI KUU YA CCM KISIWANDUI ZANZIBAR.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza Wanachama wa Chama hicho pamoja na waislamu kwa ujumla kuendelea kukithirisha ibada kwa siku chache zilizobakia za Mfungo mtukufu wa Mwezi wa Ramadhani ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu (S.W).
Al hajj Dk. Mwinyi ametoa nasaha hizo kwenye iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Ofisi kuu ya Chama hicho, Kisiwandui – Wilaya ya Mjini mkoa wa Mjini Magharibi, alipojumuika na Wanachama wa CCM, viongozi wa chama hicho na jumuiya zake, viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Aidha, Al hajj Dk. Mwinyi aliwashukuru wanachama wa chama hicho kwa kukubali kwao kujumuika pamoja kwenye futarisho hilo na kueleza kuwa limejenga dhana halisi la umoja, mshikamano, ushirikiano na upendo baina yao kwa kukusanyika pamoja kweye ibada hiyo kama chombo cha siasa.
“Nimefurahi kwa ujio wenu hapa, umezidisha umoja, ushirikiano, upendo na mshikamano kati yetu kama chombo cha siasa, kukutana kwetu pamoja kwenye muktadha huu ni jambo jema” alisifu Al hajj Dk. Mwinyi.
Akizungumza kwenye hadhara hiyo, Naibu Makamu Mwenyekiti CCM, Zanzibar Al hajj Dk. Muhamed Said Muhamed, Dimwa naye alisifu na kushukuru ushirikiano wa pamoja baina ya wanachama wa CCM na viongozi wa Serikali katika kutekeleza kwa vitendo Ilani ya Chama hicho ya 2020 2025 kwa kuimarisha maendeleo ya nchi.
Pamoja na kushukuru uondozi wa chama hicho kwa maandalizi mazuri ya futarisho hilo na kusifu kuwaunganisha pamoja baina ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM, viongozi na wadau wengine wa Serikali pamoja na viongozi wastaafu kwa kuwakushanya pamoja kwenye futari hiyo.
Naye, Katibu wa Kamati Maalum (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar, Al hajj Komred Khamis Mbeto Khamis aliwasihi waumini wa dini ya Kiisalaam na wanachama wa CCM kuendelea kuwaombea dua njema viongozi wa nchi ili waendelee kuliongoza vyema taifa pamoja na kuepushwa na shari za mabilisi na viumbe wabaya.
Futari hiyo pia ilihudhuriwa na Wajumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa, akiwemo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Al hajj Hemed Suleiman Abdulla pamoja na viongozi wengine wastaafu akiwemo Balozi Seif Ali Iddi, Makamu wa Pili mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na wanachama wengine.
Tokea kuaza mwezi Mtukufu wa Ramadhan, Al hajj Dk. Mwinyi ameendeleza utaratibu wa kufutari pamoja na wananchi wa visiwa vya Unguja na Pemba, waumini wa dini ya kiislam, wanajamii kupitia makundi mbalimbali yenye uhitaji pamoja na wananchi wa kawaida ili kujenga dhana nzima ya kudumisha amani, utulivu, mshikamano na ushirikiano uliopo baina wa Serikali na wananchi wake.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
25-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
25-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
25-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
25-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
25-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
25-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
25-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
25-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
25-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
25-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
25-10-2025