WASIRA: WATANZANIA KATAENI KUYUMBISHWA NA WASIOTAKIA MEMA NCHI.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amqni na usalama wa nchi.
Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.
Mqkqmu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.
“Kuna vyama vya siasa ambavyo vinataka uhuru usiokuwa na mipaka, uhuru usiokuwa na amani hauna maana, na wako wanaotoka kulifanya suala hilo kama mtaji. Tunaposema nchi iko salama maana yake tuko salama kweli na wale wanaodhani tunaweza kutikiswa tunawapa majibu hawawezi kututikisa.
“Sisi Katiba yetu Ibara yake ya tano inasema CCM jukumu lake la msingi ni kushinda uchaguzi, kukamata dola, sasa lazima tukamate dola kwa sababu mapinduzi ambayo tunayaendesha kuleta maisha bora kwa watu hayawezi kupatikana bila sisi kushika dola.
“Kwa hiyo dola ni chombo chetu cha mapinduzi na hatuwezi kukikabidhi kwa chama kingine chombo hiki ambacho hakipo kwa ajili ya wenye vyama ambavyo tumesikia kule Njombe mwenezi aliletewa 'longolongo' alipigwa hadi mbavu zikavunjika, tena mwenezi wa kike, alichapwa na wanaume halafu chama cha namna hiyo mkipe dola mmechoka na amani?
“Amani unaweza kuizoea ukaona hata isipokuwepo wewe utakuwepo, haiwezekani, kajifunze kwa majirani zetu, ikitoweka hairudi. Nenda kaulize maeneo ambayo imetoweka hairudi hata kule ambako hali imetulia visasi vimebaki, visasi vinarithiwa vizazi kwa vizazi, msikubali mkababaishwa na jambo la msingi kuhusu amani yetu,” amesema.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
24-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
24-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
24-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
24-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
24-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
24-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
24-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
24-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
24-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
24-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
24-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
24-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
24-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
24-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
24-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
24-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
24-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
24-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
24-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
24-03-2026