RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi jana jioni alijumuika na wananchi wa Mkoa wa kaskazini Unguja kwenye futari ya pamoja.
Futari hiyo maalum aliyowaandalia ukumbi wa VETA, kwenye Chuo cha Amali, Mkokotoni, Mkoa wa Kaskazini Unguja ikiwa ni utaratibu uliojiwekea Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kila ifikapo Ramadhani kufutari pamoja na wananchi wa visiwa vya Unguja na Pemba na waumini wa dini ya kiislam katika kujenga umoja, ushirikiano, mshikamo na upendo na kuimarisha amani baina ya viongozi na wananchi.
Al hajj Dk. Mwinyi alitumia fursa hiyo, kuwashukuru wananchi hao kwa kuitikia wito wa kujumuika pamoja naye na kuuusifu uongozi wa Mkoa huo kugusa makundi yote ya jamii yenye uhitaji. Pia, Al hajj Dk. Mwinyi alisisistiza suala la kutunza amani, umoja, upendo, na mshikamano baina ya jamii ili kuyatunza maendeleo yaliopo nchini.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Hadid Rashid Hadid pia amemshukuru Rais Al hajj Dk. Mwinyi kwaniaba ya wananchi wa Mkoa huo kwa kuwafutarisha. Alisema zaisi ya wananchi 1300 walijumuika nayo kwenye futari hiyo wakijumuishwa na wananchi wa makundi yote wakiwemo wazee, wajane, wenye ulemavu, watoto, watoto yatima, wananchi wenye uhitaji, maimamu wa misikiti, walimu wa madrasa, wajasiriamali, wawakilishi wa asasi za kiraia na wawakilishi wa bodaboda.
Aidha, hafla hiyo ya futari ya pamoja pia ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, dini na vyama vya siasa.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
27-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
27-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
27-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
27-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
27-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
27-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
27-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
27-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
27-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
27-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
27-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
27-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
27-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
27-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
27-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
27-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
27-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
27-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
27-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
27-10-2025